Salamu

Salamu

Ndivyo ulivyofundishwa na wazazi wako kusalimia?
 
Today we've wonders in the forum, kaka Joseph leo unarekebisha tabia tu kwa wageni ha ha haaaa
Mpevu wakati mwingine salamu tu inatosha kukueleza ni mtu wa namna gani umekutana nae,hivyo inafaa wakati mwingine tuwakumbushe umuhimu wa salamu maana hapa ni mahali pa heshima kubwa.
 
Mpevu wakati mwingine salamu tu inatosha kukueleza ni mtu wa namna gani umekutana nae,hivyo inafaa wakati mwingine tuwakumbushe umuhimu wa salamu maana hapa ni mahali pa heshima kubwa.

ni kweli usemacho, nimekusoma.
 
Mambo poa, Wamboi. Karibu jamvini. Sidhani kama beatrixmgittu kweli amedhamiria kumpa Joseph bakora akutandike, kwa hiyo take it easy🙂
 
Back
Top Bottom