Kevzy
JF-Expert Member
- May 23, 2026
- 969
- 1,696
Habari
Umri wangu 33 ni babu kabisa katika mikakati ya ujana , ujana unaishia wallah
Sasa katika hali sio ya kawaida nakatiza Kona mitaa ya kinondoni napokea salamu Kwa sauti nyororo na raini ikinisalimia " mambo" aisee nilibaki nashangaa na bila kuitikia mpaka yule msichana anakata Kona na kwenda zake, yaani mpaka anapotea machoni mwangu ndio akili inanijia
Salamu ya kawaida lakini ilinifanya nijiulize huyu binti si ilitakiwa aniamkie , mbona kaniambia mambo, aisee hatari sana
Akili imenijia na kuniambia kwanini! Usingemuita karibu yako usalimiane naye vizuri na kumuuliza maswali mawili matatu ila alikuwa ameshapotea machoni mwangu
Nomaa aisee, jela inatembea barabarani
Hatari
Umri wangu 33 ni babu kabisa katika mikakati ya ujana , ujana unaishia wallah
Sasa katika hali sio ya kawaida nakatiza Kona mitaa ya kinondoni napokea salamu Kwa sauti nyororo na raini ikinisalimia " mambo" aisee nilibaki nashangaa na bila kuitikia mpaka yule msichana anakata Kona na kwenda zake, yaani mpaka anapotea machoni mwangu ndio akili inanijia
Salamu ya kawaida lakini ilinifanya nijiulize huyu binti si ilitakiwa aniamkie , mbona kaniambia mambo, aisee hatari sana
Akili imenijia na kuniambia kwanini! Usingemuita karibu yako usalimiane naye vizuri na kumuuliza maswali mawili matatu ila alikuwa ameshapotea machoni mwangu
Nomaa aisee, jela inatembea barabarani
Hatari