Wanyiramba ni sisi, wewe unayetupangia kufa na mwigulu sijui watoka wapi kama sio kutumiwa???????Wanyiramba wameapa kufa na mwigulu kwa hali na mali. Ataliongoza jimbo hadi atakapochoka mwenyewe
Iramba hakuna wachaga sijui mnafuata nini na chama chenu cha kikabila .
Wengine saivi mchana kweupee... We vipi? Ndo upo shift ya ucku sio? Eti kweli mmewafukuza wabunge na madiwani...? Eti naskia Gaidi Mwigulu kafukuzwa unaibu? Niambie weeewe
Mbona kama walinzi vile? Ni makamanda kweli au njaa?
Sisi kwetu hakuna nazi... Huku ubuyu ndo sana... Ndo maana napenda kujibizana nawe maana una ladha kama ya ubuyu!!? By the way MWIGULU ndo gaidi mkubwa ndani ya ccm, wengi ni Ramadhan Ighondu, Msakila, Jack Zocka. ifweero
Wanyiramba ni sisi, wewe unayetupangia kufa na mwigulu sijui watoka wapi kama sio kutumiwa???????
Kipanga ampiga mkoloniSio mkoloni mweusi mkoloni ccm
View attachment 109219
Salamu rasmi IRAMBA MAGHARIBI, Timu ya kazi inaingia na kupiga kambi kuanzia Jumamosi hii kutoa elimu ya URAIA na UKOMBOZI wa Jimbo Hili kutoka kwenye ulaghai wa ccm uliowafumba macho wananchi kwa miaka mingi na maisha yao yakizidi kuwa magumu siku hadi siku, eti MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA!!!! huku wale waliopewa nafasi ya kuwatumikia wananchi wakiishia kuleta propaganda za kukandamiza harakati za mageuzi nchini na kujifanya MIUNGU WATU, kwamba hawataki kuona IRAMBA ikifanyiwa kazi za kisiasa na vyama vya upinzani kwa kuwazushia kesi za uongo na vitisho wanaharakati wanaoingia jimboni hapo, tumejiandaa sio tu kupokea vitisho, bali kwa lolote lile watakalokuja nalo ili mradi wananchi wa IRAMBA Magharibi wakombolewe,,,,, tutakuwepo hapo mimi David Djumbe, Jesca Kishoa pamoja kamanda wa upepo Ally Bananga, huku tukiwakaribisha wale wote wanajisikia kushiriki kazi hii katika jimbo hili, kwa namna yeyote ile ,wanaweza kuwasiliana nasi mapema kwa ajili ya utaratibu mzima.>>>
hiyo nazi uliyobeba hapo juu haikusaidii kabisa. Mwigulu ameyaumbua magaidi kwa kuharibu mtandao wao wa uuwaji. Shika adabu yako