Makamanda mmependeza sanaa...
[h=5]View attachment 109219[/h][h=5]Salamu rasmi IRAMBA MAGHARIBI, Timu ya kazi inaingia na kupiga kambi kuanzia Jumamosi hii kutoa elimu ya URAIA na UKOMBOZI wa Jimbo Hili kutoka kwenye ulaghai wa ccm uliowafumba macho wananchi kwa miaka mingi na maisha yao yakizidi kuwa magumu siku hadi siku, eti MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA!!!! huku wale waliopewa nafasi ya kuwatumikia wananchi wakiishia kuleta propaganda za kukandamiza harakati za mageuzi nchini na kujifanya MIUNGU WATU, kwamba hawataki kuona IRAMBA ikifanyiwa kazi za kisiasa na vyama vya upinzani kwa kuwazushia kesi za uongo na vitisho wanaharakati wanaoingia jimboni hapo, tumejiandaa sio tu kupokea vitisho, bali kwa lolote lile watakalokuja nalo ili mradi wananchi wa IRAMBA Magharibi wakombolewe,,,,, tutakuwepo hapo mimi David Djumbe, Jesca Kishoa pamoja kamanda wa upepo Ally Bananga, huku tukiwakaribisha wale wote wanajisikia kushiriki kazi hii katika jimbo hili, kwa namna yeyote ile ,wanaweza kuwasiliana nasi mapema kwa ajili ya utaratibu mzima.>>>[/h]
mlivochoka hadi nawahurumia, naamini hako kamradi katawasaidia kumega karuzuku kdg badala ya slaa kwenda kutumbua israeli na hawara yake nanyi mtafaidi kiasi
Dawa ya Mwigulu ni Best yangu Jesca Kishoa, "anamtoa" nyongo sasa hivi huyo gaidi.... Kishoaaaaa
mlivochoka hadi nawahurumia, naamini hako kamradi katawasaidia kumega karuzuku kdg badala ya slaa kwenda kutumbua israeli na hawara yake nanyi mtafaidi kiasi
Wamechoka kama Pinda? Acha udhudhu wewe... CHADEMA ni O2
hiyo nazi uliyobeba hapo juu haikusaidii kabisa. Mwigulu ameyaumbua magaidi kwa kuharibu mtandao wao wa uuwaji. Shika adabu yako
una tindikali hapo?
Iramba hakuna wachaga sijui mnafuata nini na chama chenu cha kikabila .Sisi kwetu hakuna nazi... Huku ubuyu ndo sana... Ndo maana napenda kujibizana nawe maana una ladha kama ya ubuyu!!? By the way MWIGULU ndo gaidi mkubwa ndani ya ccm, wengi ni Ramadhan Ighondu, Msakila, Jack Zocka. ifweero
Mwigulu mpaka kamkondesha slaa kwa hoja zake zenye mashiko leo slaa halali akimwaza mwigulu.Kama ile ya Mwigulu aliyompaka mjasiliamali mkakamavu (Greenguard) Musa Tesha pale Igunga. Kama ndo hiyo, mpigie huyu hapa Mwigulu Nchemba
Iramba hakuna wachaga sijui mnafuata nini na chama chenu cha kikabila .
Wewe baba lisu unamjua vizuri? Uliza uambiwe usidandie usiyoyajua utachekwa.Diwani wa Iseke ni mchaga eeh! Tundu Lisu je? Tulia hivyohivyo makamanda tuchanje mbuga, mpaka muombe POOO