Salamu za CHADEMA Iramba Magharibi

Salamu za CHADEMA Iramba Magharibi

Djumbe

Member
Joined
Apr 8, 2011
Posts
39
Reaction score
62
Scanner 170.jpg

Salamu rasmi IRAMBA MAGHARIBI, Timu ya kazi inaingia na kupiga kambi kuanzia Jumamosi hii kutoa elimu ya URAIA na UKOMBOZI wa Jimbo Hili kutoka kwenye ulaghai wa ccm uliowafumba macho wananchi kwa miaka mingi na maisha yao yakizidi kuwa magumu siku hadi siku, eti MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA!!!! huku wale waliopewa nafasi ya kuwatumikia wananchi wakiishia kuleta propaganda za kukandamiza harakati za mageuzi nchini na kujifanya MIUNGU WATU, kwamba hawataki kuona IRAMBA ikifanyiwa kazi za kisiasa na vyama vya upinzani kwa kuwazushia kesi za uongo na vitisho wanaharakati wanaoingia jimboni hapo, tumejiandaa sio tu kupokea vitisho, bali kwa lolote lile watakalokuja nalo ili mradi wananchi wa IRAMBA Magharibi wakombolewe,,,,, tutakuwepo hapo mimi David Djumbe, Jesca Kishoa (Iron Lady) pamoja kamanda wa upepo Ally Bananga, huku tukiwakaribisha wale wote wanajisikia kushiriki kazi hii katika jimbo hili, kwa namna yeyote ile ,wanaweza kuwasiliana nasi mapema kwa ajili ya utaratibu mzima.>>>
 
Ninyi mmeenda kumtukana tu Mwigulu lakini kumbukeni kwamba wakubwa wenu wamemshindwa na ni hivi karibuni tu Babu alimshindwa.yangu macho!!!Mwigulu jimbomlako limevamiwa hawa jamaa hawakujui!!
 
kila la heri makamanda ila tahadhari kubwa mchukue kwani mwenye hilo jimbo kwa sasa ni gaidi no.1,hivyo laweza kufanya mipango yoyote ili mradi adhuru safari na maisha yenu jimboni humo.

Siasa za kistaarabu zilishamshinda huyo gaidi kubwa jinga.
 
Ninyi mmeenda kumtukana
tu Mwigulu lakini kumbukeni kwamba wakubwa wenu wamemshindwa na ni hivi
karibuni tu Babu alimshindwa.yangu macho!!!Mwigulu jimbomlako
limevamiwa hawa jamaa hawakujui!!

acha propaganda bhana!! mwigulu sio wakumlinganisha na yeyote ndani ya CDM.jamaa anauwezo mdogo kama maisha ya funza.
 
Mshambulieni Gaidi Mwigulu vilivyo. Wana Irambamba wafunguliwe macho waone na kujitambua.

Siku wana Iramba wakijitambua Mwigulu atakuwa hatarini.......

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom