D
Deleted member 485868
Guest
Haha
safi
Hapa vipi?Jeshi la mtu mmojaView attachment 809803
mtihani gani?una mtihani...unakusubiria
Mbona ana nyonyo kubwa tu ?Sio kushindwa kuoa tatizo tabia zake ndo zinatisha za kujifanya kama mwanaume..
Hivi ile tetesi ya kutoka na A..Y iliishiaga wapi
Capitan Kongolu Mobutu njoo dar na vumbi lenu lile uje kuchukua mzigo huu wanaume wa dar wanampalazaHivi huko dàr hakuna mwanaume wa kumtulize
oYule presenter maarufu na mwananadada gang,Salama J amezua gumzo mitandaoni baada ya kupost picha ambazo zinaonekana kuwa
amechoka,kubwa kabisa ni pale
anapoonekana kama busta ya kutaka
kifua kionekane saa sita imegoma
kabisa......hii mitandao ya kijamii sasa
inatuchosha mana kila siku kunazuka
jipya!!View attachment 809741
hah haha aiseee.. kwahiyo utakuwa ni kikongwe ""!?Kwa maana tusiokuwa na period sio wanawake?
Nimeelewa vibaya sijui....
yeye kuolewa sio.. anataka kuwowa ndo shidaSiku yake ikifika "ataolewa" tu, maana hiyo ndiyo ndoto ya 99.99% ya wanawake hapa duniani.
Hohoo ziwa kama chapati
Wanaume wa Dar wameshindwa kumuoa huyu mama