Wakati napita pita kwenye milardayo dot com nimeona kuna hii habari ipo kwenye kichwa cha habari cha gazeti la MIKASA. Kwa wale watakaobahatika kuisoma naomba mje mnihadithie ni mimba ya nani na ina miezi mingapi..? Asante
Ameanza kuendesha planet bongo kama mwaka 2003 hivi na alikuwa anaonekana tayari yuko matured, so kwa logic tu ya kawaida naunga mkonyo hoja kwamba ana zaidi ya 30