Nellyonjolo1
Senior Member
- Dec 2, 2012
- 120
- 39
Wakuu nawasalimu wote nadhani mu wazima bali kwa wale wenye madhaifu basi Muumba wao awarejeshee kilichopungua na wapate kufurahi pamoja nasi.
Kwa wale waliotangulia mbele ya haki basi nasema nimewamiss (Bwana ametoa na tena ametwaa!) wapumzike salama.
Nawapenda sana, naomba mnipokee tafadhali.
Kwa wale waliotangulia mbele ya haki basi nasema nimewamiss (Bwana ametoa na tena ametwaa!) wapumzike salama.
Nawapenda sana, naomba mnipokee tafadhali.