Salama humu ndani? Mgeni wenu hapa!

Nellyonjolo1

Senior Member
Dec 2, 2012
120
39
Wakuu nawasalimu wote nadhani mu wazima bali kwa wale wenye madhaifu basi Muumba wao awarejeshee kilichopungua na wapate kufurahi pamoja nasi.
Kwa wale waliotangulia mbele ya haki basi nasema nimewamiss (Bwana ametoa na tena ametwaa!) wapumzike salama.

Nawapenda sana, naomba mnipokee tafadhali.
 
Wakuu nawasalimu wote nadhani mu wazima bali kwa wale wenye madhaifu basi Muumba wao awarejeshee kilichopungua na wapate kufurahi pamoja nasi.
Kwa wale waliotangulia mbele ya haki basi nasema nimewamiss (Bwana ametoa na tena ametwaa!) wapumzike salama.

Nawapenda sana, naomba mnipokee tafadhali.
Mkuu unatisha hiyo intro................
 
Wakuu nawasalimu wote nadhani mu wazima bali kwa wale wenye madhaifu basi Muumba wao awarejeshee kilichopungua na wapate kufurahi pamoja nasi.
Kwa wale waliotangulia mbele ya haki basi nasema nimewamiss (Bwana ametoa na tena ametwaa!) wapumzike salama.

Nawapenda sana, naomba mnipokee tafadhali.

aiseeeeee babaangu karibu sana jf labda nichukuwe nafasi hii na mimi nijitambulishe naitwa mkuu rombo natokea mkowa wa kilimanjaro kijiji cha mkuu rombo namiaka 62 na mke na watoto 8 na wajukuu 5 asante sana na karibu JF
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom