Ahsante,Eid njema jamani.Minal Faidhina. Karibu jamani. 😍
Hongera,enjoyEbwana nimeletewa Wali Kuku safi kabisa ndio nafinya matonge hapa muda huu, Eid Mubarak
Ahsante sana na kwako pia. 🙏Ahsante,Eid njema jamani.
Nikajua labda ka mpesa kamesoma, kumbe salamu tu za maneno!Vodacom inakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA EID EL-FITRI!
Ahsante 🙏Ahsante sana na kwako pia. 🙏
Hii hata mimi nimeiona ndefuuu😄Mpendwa Mteja, Airtel inakutakia Heri ya Sikukuu ya Eid al Fitr. Maduka yetu ya Morogoro, Arusha, Mwanza, Dodoma, Mbagala na Mbeya yatakuwa wazi kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 7 mchana. Maduka ya SGR Dar es Salaam, SGR Dodoma na SGR Morogoro yatakuwa wazi hadi saa 9 mchana, na Mlimani City hadi saa 1 usiku. Huduma zetu za kidigitali zinapatikana masaa 24.
Shukran MkurugenziVodacom inakutakia wewe na familia yako Heri ya SIKUKUU YA MUUNGANO!
Vodacom wakuoneVodacom inakutakia wewe na familia yako Heri ya SIKUKUU YA WAFANYAKAZI!
🤣DAKIKA ZA MAJERUHI NDIO NATOLEWA.View attachment 3595739