Ahsante,Eid njema jamani.Minal Faidhina. Karibu jamani. 😍
Hongera,enjoyEbwana nimeletewa Wali Kuku safi kabisa ndio nafinya matonge hapa muda huu, Eid Mubarak
Ahsante sana na kwako pia. 🙏Ahsante,Eid njema jamani.
Nikajua labda ka mpesa kamesoma, kumbe salamu tu za maneno!Vodacom inakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA EID EL-FITRI!
Ahsante 🙏Ahsante sana na kwako pia. 🙏
Hii hata mimi nimeiona ndefuuu😄Mpendwa Mteja, Airtel inakutakia Heri ya Sikukuu ya Eid al Fitr. Maduka yetu ya Morogoro, Arusha, Mwanza, Dodoma, Mbagala na Mbeya yatakuwa wazi kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 7 mchana. Maduka ya SGR Dar es Salaam, SGR Dodoma na SGR Morogoro yatakuwa wazi hadi saa 9 mchana, na Mlimani City hadi saa 1 usiku. Huduma zetu za kidigitali zinapatikana masaa 24.