Salam za Idd toka mashirika mbalimbali

Salam za Idd toka mashirika mbalimbali

IMG-20260321-WA0034.jpg
 
Hii h
Mpendwa Mteja, Airtel inakutakia Heri ya Sikukuu ya Eid al Fitr. Maduka yetu ya Morogoro, Arusha, Mwanza, Dodoma, Mbagala na Mbeya yatakuwa wazi kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 7 mchana. Maduka ya SGR Dar es Salaam, SGR Dodoma na SGR Morogoro yatakuwa wazi hadi saa 9 mchana, na Mlimani City hadi saa 1 usiku. Huduma zetu za kidigitali zinapatikana masaa 24.
Hii hata mimi nimeiona ndefuuu😄
Vodacom na Halotel kimya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom