Haichekeshi.Ilitakiwa wakwamby HERI YA TECDEMA TANZANIA?
Dah MG jua limempiga utakuta na tumboni hakukuwa na jambo wakati anaingia field na bado ana masaa walau matatu mbele ni hapo ukijaa kwenye anga zake si mabuti tu hata matusi lazima uyakoge .
Hapo ukiwa na boda unafika unampiga kofi la matako halafu unaachia clutch kwa nguvu.
Kwani kuna ubaya ganiVodacom inakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR!
Mkuu unamaanisha nini hapo kwny 'maada'?Nje ya maada.
MatterMkuu unamaanisha nini hapo kwny 'maada'?
Sorry, I mean MADAMkuu unamaanisha nini hapo kwny 'maada'?
Vodacom wanatakia heri wateja wake kwenye kila sikukuu, kuanzia za dini hadi za kitaifa. Wakisema Heri ya Christmas haina maana wanajihusisha na dini, na walivyosema heri ya sikukuu ya mapinduzi ya Zanzibar haina maana wamejihusisha na siasaSitaki kusikia siasa kwenye simu yangu. Mkataba wangu na Vodacom unahusu mawasiiano Tu haya Mambo ya sikukuu za kisiasa nitaambiwa na Msemaji wa serikali na nitajua Jinsi ya kujibizana naye.