Salam za Idd toka mashirika mbalimbali

Salam za Idd toka mashirika mbalimbali

Eid Mubarak!
Tunakutakia Eid yenye amani, furaha, na baraka tele pamoja na wapendwa wako. Eid Mubarak kutoka Air Tanzania
Mpendwa Mteja, Airtel inakutakia Heri ya Sikukuu ya Eid al Fitr. Maduka yetu ya Morogoro, Arusha, Mwanza, Dodoma, Mbagala na Mbeya yatakuwa wazi kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 7 mchana. Maduka ya SGR Dar es Salaam, SGR Dodoma na SGR Morogoro yatakuwa wazi hadi saa 9 mchana, na Mlimani City hadi saa 1 usiku. Huduma zetu za kidigitali zinapatikana masaa 24.
 
Mpendwa Mteja, Airtel inakutakia Heri ya Sikukuu ya Eid al Fitr. Maduka yetu ya Morogoro, Arusha, Mwanza, Dodoma, Mbagala na Mbeya yatakuwa wazi kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 7 mchana. Maduka ya SGR Dar es Salaam, SGR Dodoma na SGR Morogoro yatakuwa wazi hadi saa 9 mchana, na Mlimani City hadi saa 1 usiku. Huduma zetu za kidigitali zinapatikana masaa 24.
20260307_160040.jpg
Mpendwa Mteja, Airtel inakutakia Heri ya Sikukuu ya Eid al Fitr. Maduka yetu ya Morogoro, Arusha, Mwanza, Dodoma, Mbagala na Mbeya yatakuwa wazi kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 7 mchana. Maduka ya SGR Dar es Salaam, SGR Dodoma na SGR Morogoro yatakuwa wazi hadi saa 9 mchana, na Mlimani City hadi saa 1 usiku. Huduma zetu za kidigitali zinapatikana masaa 24.
Hizi ni salamu + tangazo + taarifa (tatu bila)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom