PACHOTO
JF-Expert Member
- Dec 30, 2011
- 1,321
- 970
Msibani Morogoro mazishi ya Mke wa Babu Tale, SALAAM SK mmoja wa mameneja wa Diamond akataa mkono wa HARMONIZE, binfsi sijapenda bifu hadi msibani, kama hasira angekuwa nazo Harmonize kwa zile M600, sio yeye.
NB: kumbe WCB walikuwa wanafaidika na uwepo wa TEMBO sasa mambo magumu
NB: kumbe WCB walikuwa wanafaidika na uwepo wa TEMBO sasa mambo magumu