Dogo,
Tambua kuwa hukuwa na hati miliki ya Ubunge ambao ulikupa Uwaziri. Mara tu baada ya Kubwagwa kwa sauti ya UMMA unapaswa kutambua kuwa maana yake HAUSTAHILI hata kwa sekunde kuendelea kuhodhi NAFASI, RASILIMALI, FURSA, au UPENDELEO uliopata kutokana na kuwa MBUNGE na KISHA WAZIRI.
Kwa salamu hizi nakutaka mara moja (Hapa naamrisha kama Dr. Slaa anavyoamuru serikali akiwa nje ya dola) ufanye lifuatalo:
AMRI HII ITEKELEZWE MARA MOJA.
- BADILI WASIFU WAKO NA ANWANI KATIKA MAANDIKO YAKO KUANZIA SASA. Hii ni pamoja na kuondoa Cheo na anwani zinazokutambulisha kama Waziri kwenye mitandao kama Facebook Lau Masha | Facebook
Kwenye nyekundu hapo una maana gani? amesemwa au anapewa maagizo na sisi wananchi ambao ndio tulikuwa waajiri wake wa zamani..!Jamani, kwani ametaka kuendelea kutumia cheo/vyeo hicho/hivyo? Nadhani mambo yatakwenda kama kawaida. Kama amekosa ubunge, hawezi kutumia hicho cheo tena na hawezi kuwa Waziri tena labda ateuliwe kuwa Mbunge na Mhe. Rais. Naona kama ameshupaliwa sana, kama alikosea basi mkosoeni tu na sio kumsema hivi.
Hii inamsubiri na Kikwete pia, yeye thru peoples powerHahahahahahahahahahahahaha,
Mtu akishaonja madaraka bwana, hasa viongozi wetu wa Kiafrika kuachia huwa inakuwa ngumu sana. Jamaa sasa vitu kama hivi anaona anavikosa. Lol!
Dogo,
Tambua kuwa hukuwa na hati miliki ya Ubunge ambao ulikupa Uwaziri. Mara tu baada ya Kubwagwa kwa sauti ya UMMA unapaswa kutambua kuwa maana yake HAUSTAHILI hata kwa sekunde kuendelea kuhodhi NAFASI, RASILIMALI, FURSA, au UPENDELEO uliopata kutokana na kuwa MBUNGE na KISHA WAZIRI.
Kwa salamu hizi nakutaka mara moja (Hapa naamrisha kama Dr. Slaa anavyoamuru serikali akiwa nje ya dola) ufanye lifuatalo:
AMRI HII ITEKELEZWE MARA MOJA.
- BADILI WASIFU WAKO NA ANWANI KATIKA MAANDIKO YAKO KUANZIA SASA. Hii ni pamoja na kuondoa Cheo na anwani zinazokutambulisha kama Waziri kwenye mitandao kama Facebook Lau Masha | Facebook
Kweli CHEO DHAMANA! hata elimu za msingi na sekondari tulifundishwa hii!daah
Hahahahahahahahahahahahaha,
Mtu akishaonja madaraka bwana, hasa viongozi wetu wa Kiafrika kuachia huwa inakuwa ngumu sana. Jamaa sasa vitu kama hivi anaona anavikosa. Lol!
View attachment 17515
Dogo,
Bado tu hujazoea maisha bila Uwaziri?
Wataka Mpaka Nahodha na Kagasheki Waapishwe ndo ukubali kuwa MAMLAKA yamekwisha twaliwa?!
Ebo! Kuwa mwelevu na kubali yaliyokwishajiri upunguze msongo wa mawazo.
View attachment 17515
Dogo,
Bado tu hujazoea maisha bila Uwaziri?
Wataka Mpaka Nahodha na Kagasheki Waapishwe ndo ukubali kuwa MAMLAKA yamekwisha twaliwa?!
Ebo! Kuwa mwelevu na kubali yaliyokwishajiri upunguze msongo wa mawazo.
Hahahahahahahahahahahahaha,
Mtu akishaonja madaraka bwana, hasa viongozi wetu wa Kiafrika kuachia huwa inakuwa ngumu sana. Jamaa sasa vitu kama hivi anaona anavikosa. Lol!
Usiniambie leo hii Masha hana tofauti na mimi mjasiriamali wa kawaida??? Kampani yake Dubai tutaikosa na majigambo. Jamaa alikuwa anatamba utadhani nnchi yake. Tulikuwa tunaumia kweli kumbe mwisho wake umefika. Masha masela wanakupa hi, unakumbuka..........
i still believe Masha was a visionary tanzanian, sijui alikosea wapi
Are you that kind of an optimist?