Salaam na Agizo kwa Lau Masha

Salaam na Agizo kwa Lau Masha

Good Riddance Masha! Jirekebishe tabia. People are always watching and Tanzanians are not fools.
 
aaaah mdogo wangu Mashaaaaaa Lauuuuuu...ndo ukubwa huo .....Siasa ndo zilivyo mwanakwetu..ujanja wote huo ukashindwa kuchakachua ..Mbona mwezio LEMBELI kachakachua kama ananawaaaaa
 
Hii English ya Masha vipi naona kama lugha haipandi vizuri na kukulia kote ughaibuni yakhe???, au ni mie mwenyewe mwenye tatizo la tenses za kiingereza?????

Favorite Quotations "Ask not what your Country can do for you, but ask what you can do for your Country"!

by Lau Masha on Facebook!!!!!!!!!!!!
 
Heshima kwako Omutwale,

Mkuu naona unamwanda Lau mwanzako bado anawaza dili la vitambulisho.

Aendelee kuota tu. Atashtuka na kuamka pale naye atakapoitwa kupiga passport photo ya kitambulisho. Jambo alilotegemea ni yeye kuita wengine na si yeye kuitwa na wengine.
 
Back
Top Bottom