Sala yetu moja kwa diamond

Sala yetu moja kwa diamond

Blandes

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2011
Posts
406
Reaction score
236
Nachukua nafas hii kuwaomba watanzania wote tuweke tofauti zetu na kumuombea DIAMOND PLATNUMZ apate tuzo usiku huu ya MTV
 
Show inaanza saa ngapi na channel gani? For the first time i voted like 20 times. All the best sugarboy!

cc heaven on desert
 
Last edited by a moderator:
Nachukua nafas hii kuwaomba watanzania wote tuweke tofauti zetu na kumuombea DIAMOND PLATNUMZ apate tuzo usiku huu ya MTV

Ili aendelee kuwa malaya na kupitisha madawa ya kulevya.
 
Nachukua nafas hii kuwaomba watanzania wote tuweke tofauti zetu na kumuombea DIAMOND PLATNUMZ apate tuzo usiku huu ya MTV

Mimi naomba niende kinyume, kwani naamini soko la muziki wetu halina usawa. Naomba huyo bwana aikose hiyo tuzo...
 
huwezi kumweka davido na diamond category moja diamond anadeserve KILI MUSIC AWARD sio MTV!!!
 
Domo Tupa kule kiukweli diamond wa kawaida sana kushindanishwa na kina davido
 
Poleni team wema Dimond anajulikana east Africa na Davido anajulika Africa nzima yaani hadi watanzania wamempigia kura na ukijumlisha na idada ya watu Nigeria inawatu zaidi ya milion 150 mara tatu ya Bongo so kura zisingeweza kutosha pia Davido ni number nyingine kabisabile SASA WEWE ULIKUWA UNAWAASA WATU TUMWOMBE DIOMOND BORA TUNGEOMBA UPATE KAZI...
 
Back
Top Bottom