Sala kabla ya tendo la ndoa...

Sala kabla ya tendo la ndoa...

haya mama karibu sana ila angalia asijekuambukiza tabia yake ya kupitiliza ndani bila hodi.

sawa nitakuwa makini na nishamtahadharisha tabia ya kuingia bila kupiga hodi.......

mie na grafani11 tunataka tuanze kusali kabla ya hili tendo sijui unaonaje my dada
 
Last edited by a moderator:
Ngoja ukirudi tena rasmi nitakuletea vitu vipya (mambo yetu yale) nilivyovipata nikiwa safarini.

Najua wewe hukawii kunipiga madongo hasa kuhusu vionjo vyangu vile, lakini madongo yako huwa yananifurahisha tu.
sasa grafani11 mbona unaniweka roho juu mwenzio em nipe japo hints walau kidogo tu jamani,hizi wiki mbili tatu nitakuwepo kuwepo angalau.
 
^^
Tukiweka kando sala au maombi ya pamoja ktk familia hususani ya usiku,baba,mama,na watoto n.k Imeelezwa kuwa wanandoa au wapenzi tu wanapokuwa chumbani kwao Kabla ya kuvamia kitanda kwa ajili ya tendo la ndoa,,wanaposali kwa adabu kuombea tendo hilo husaidia sana kufurahia kukutana kwao kimwili.
^^
Faida nyingine zinazotajwa ni pamoja na kuondoa kabisa tofauti ndogo ndogo ktk mahusiano yao kama juu ya watoto,pesa,na mengineyo.
^^
Nao wanasaikolojia Mc Grath na Gregoire N,wanasema kuwa tendo la ndoa hushikamana na akili zaidi hivyo linapounganishwa na imani bila shaka huleta matokeo mema.
Wao wanaenda mbali zaidi na kushauri mwanamke awe wa kwanza kuanzisha hoja hii kila kabla na baada ya tendo hili maana
"..Mwanamke humwona Mungu kama wa kuaminika zaidi na mahali pa kutafuta usalama,,lakini mwanaume humwelekea zaidi Mungu kwa kutumia akili yake..."
^^
Wana MMU sijui ni wangapi na akina nani wanaweza fanya hivi walau mfululizo kwa mwezi? Jaribu sasa pengine ugomvi na kutoridhishwa kutapungua au kuisha kabisa.
^^

I Never heard of this before!
 
sawa nitakuwa makini na nishamtahadharisha tabia ya kuingia bila kupiga hodi.......

mie na grafani11 tunataka tuanze kusali kabla ya hili tendo sijui unaonaje my dada
Tatizo mimi mwenzio chuma kikiwa kimekolea moto inakuwa tabu. Unaweza kujikuta unaomba peke yako mimi huku naendelea na kilimo, ukisema Amina, mimi huku badala ya kuitikia Amina utashangaa naitikia nakujaaaaaaaaaa...
 
Last edited by a moderator:
shaka ondoa mama mie nipo kwa ajili yenu nyote wawili,u a welcome my dear Heaven on earth huyo grafani11 hata simkaribishi ye mwenyeji sana kwangu maanake mpaka wakati mwingine anaingia kwangu bila kupiga hodi!!!!!!!!!!!grafani11 uwongo ukwelii????????????
Nogopa kujibu hapo kwenye rangi ya jina lako, maana mwenzio Malkia wangu baunsa halafu amenikazia jicho la ukali, najua nikijichanganya tu nyumbani hakukaliki.
 
Last edited by a moderator:
kuna siku nilihudhuria ndoa fulani ndo nikasikia mchungaji anasisitiza hilo. inabidi mliombee kabla hamjafanya.....
nikawaza labda wanafanya hivi..... mkiona miili yenu inaelekea kuanza shughuli inabidi mkumbushane kukaribisha uwepo wa Mungu katika jambo mnalotaka kulifanya. mnashikana mikono, mnaoombaaa, huku mmefumba macho (sasa sijui mnakuwa mmevaa kwanza nguo! maana kuomba mkiwa watupu, mmmmhhhh! mi sijui). mnakemea mashetani wasiingilie tendo lenu Takatifu (ndo maana inasisitizwa liwe tendo la ndoa, i.e. kwa wanandoa tu umesikia Heaven on earth?). baadae mnaambiana haya tuanze, lol!
Mimi nilivyoelewa, ni kwamba si wakati mnataka kula hiyo sakalamenti takatifu la! kabla ya kupanda madhabauni, mnatakiwa kuombea kitanda chenu, vitu vitakavyotumika katika hilo tendo,hiyo inapelekea lile tendo kila mmoja wenu kuridhika na kushiba, ili asiweze kwenda kula kwa jirani.
 
mie sala ya Taz naibandika nyuma ya mlango wa bedrum hahahhaaaa
aiseee nimekupenda bure
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Taz
daaaaah my mdogo samahani kwanza kabla ya yote kama nilivyokueleza mwanzoni kuna kishughuli nafanya kinanibana kiasi nashindwa kuwemo humu full tym ndo maana hta jibu nalitoa leo hii kuhusu hoja ya wewe na grafani11 yua mfalme,kusema ukweli my mdogo hivi inawezekana kweli mkaweza??????????tena bora hata wewe mi nahisi waweza kujitahidi lakini huyo mdog wangu mwigine mmmmmmhhh sijui nna mashaka maanake hayo mambo banah weee acha tu.any way jaribuni tu nisiwakatishe tamaa afu mtanipa feedback.lakini we grafani wewe unaweza na ulivyo...........mtundu naomba nimalizie usije anza ooohh Blue G kanipiga fumbo ooohh siju kalikwenda kakarudi nimemalizia hapo...
sawa nitakuwa makini na nishamtahadharisha tabia ya kuingia bila kupiga hodi.......

mie na grafani11 tunataka tuanze kusali kabla ya hili tendo sijui unaonaje my dada
 
Last edited by a moderator:
Heaven on earth mama si nilikwambia lakini???????nilijua tu mdogo grafani11 mdogo wangu hajiwezi hata chembe we msamehege tu mama sawa???????????
Tatizo mimi mwenzio chuma kikiwa kimekolea moto inakuwa tabu. Unaweza kujikuta unaomba peke yako mimi huku naendelea na kilimo, ukisema Amina, mimi huku badala ya kuitikia Amina utashangaa naitikia nakujaaaaaaaaaa...
 
Last edited by a moderator:
daaaaah my mdogo samahani kwanza kabla ya yote kama nilivyokueleza mwanzoni kuna kishughuli nafanya kinanibana kiasi nashindwa kuwemo humu full tym ndo maana hta jibu nalitoa leo hii kuhusu hoja ya wewe na grafani11 yua mfalme,kusema ukweli my mdogo hivi inawezekana kweli mkaweza??????????tena bora hata wewe mi nahisi waweza kujitahidi lakini huyo mdog wangu mwigine mmmmmmhhh sijui nna mashaka maanake hayo mambo banah weee acha tu.any way jaribuni tu nisiwakatishe tamaa afu mtanipa feedback.lakini we grafani wewe unaweza na ulivyo...........mtundu naomba nimalizie usije anza ooohh Blue G kanipiga fumbo ooohh siju kalikwenda kakarudi nimemalizia hapo...

Heaven on earth mama si nilikwambia lakini???????nilijua tu mdogo grafani11 mdogo wangu hajiwezi hata chembe we msamehege tu mama sawa???????????
Hata hivyo jitahidi usiwe unapotea sana bhana, hujui tu jinsi ninavyohisi upweke bila kukuona humu ndani.
 
Last edited by a moderator:
roman catholic kuna sala maalu kabisa ya kuombea tendo la ndoa kwa wanadoa
 
^^
Tukiweka kando sala au maombi ya pamoja ktk familia hususani ya usiku,baba,mama,na watoto n.k Imeelezwa kuwa wanandoa au wapenzi tu wanapokuwa chumbani kwao Kabla ya kuvamia kitanda kwa ajili ya tendo la ndoa,,wanaposali kwa adabu kuombea tendo hilo husaidia sana kufurahia kukutana kwao kimwili.
^^
Faida nyingine zinazotajwa ni pamoja na kuondoa kabisa tofauti ndogo ndogo ktk mahusiano yao kama juu ya watoto,pesa,na mengineyo.
^^
Nao wanasaikolojia Mc Grath na Gregoire N,wanasema kuwa tendo la ndoa hushikamana na akili zaidi hivyo linapounganishwa na imani bila shaka huleta matokeo mema.
Wao wanaenda mbali zaidi na kushauri mwanamke awe wa kwanza kuanzisha hoja hii kila kabla na baada ya tendo hili maana
"..Mwanamke humwona Mungu kama wa kuaminika zaidi na mahali pa kutafuta usalama,,lakini mwanaume humwelekea zaidi Mungu kwa kutumia akili yake..."
^^
Wana MMU sijui ni wangapi na akina nani wanaweza fanya hivi walau mfululizo kwa mwezi? Jaribu sasa pengine ugomvi na kutoridhishwa kutapungua au kuisha kabisa.
^^
kuwa na adabu kwa baadhi ya maneno unayotumia kwani ulimi uliponza mdomo, unajua maana ya (kuombea tendo sala). nimekuona kuwa kumbe nawe ni dhaifu na lege lege
 
kuwa na adabu kwa baadhi ya maneno unayotumia kwani ulimi uliponza mdomo, unajua maana ya (kuombea tendo sala). nimekuona kuwa kumbe nawe ni dhaifu na lege lege

^^
Ningefurahi sana kama ungeweka tafsiri yako kuliko kunihukumu.
Ndivyo waungwana waishivyo,,nobody had ever reached the peak of knowledge!!
^^
 
Back
Top Bottom