Kama ilivyo kawaida ya Nchi yetu, ni Nchi inayoendeshwa kwa matukio, tukio lililopo kwenye peak kwa sasa ni hili la IMTU na masalia ya viungo vya binadamu, Cadaver remains, si lengo langu kushabikia kile kilichofanyika kwani ni kinyume kabisa na maadili ya kidaktari,Medical Ethics ,na haki za binadamu, Human rights. Hatua stahiki inabidi zichukuliwe dhidi ya wahusika.
Kumejitokeza mtiririko wa matamko mbalimbali,ikiwemo la MAT, Chama cha madaktari
inawezekana umeandika kitu cha maana ila umenikera ulipoweka makiingereza meengi hii imenikera kwa kuwa umeonesha ushabiki wako wa kitumwa pole sana.