Kama ilivyo kawaida ya Nchi yetu, ni Nchi inayoendeshwa kwa matukio, tukio lililopo kwenye peak kwa sasa ni hili la IMTU na masalia ya viungo vya binadamu, Cadaver remains, si lengo langu kushabikia kile kilichofanyika kwani ni kinyume kabisa na maadili ya kidaktari,Medical Ethics ,na haki za binadamu, Human rights. Hatua stahiki inabidi zichukuliwe dhidi ya wahusika.
Kumejitokeza mtiririko wa matamko mbalimbali,ikiwemo la MAT, Chama cha madaktari Tanzania, Human Rights Center etc, na tutegemee matamko mengine kufuatia. Siyo kitu kibaya ,wanatimiza wajibu wao kuonyesha wako 'alive",( justification for their existance).
Swali la kijiuliza ni iweje kunapotokea tatizo ndo tuone mtiririko wa matamko, kwanini tusiwe na utaratibu wa kuzuia mapema, iweje chuo na hospitali kubwa kama IMTU isiwe na INCINERATOR, ( ikumbukwe mwanafunzi mmoja wa IMTU analipa karibia milioni 6 za tuition fee, kwa wale wa kozi ya udaktari,kuna wanafunzi karibia 800 wa kozi hii, achilia mbali kozi zingine za maabara na Nursing, kweli hawa jamaa wanashindwa kununua incinerator hadi wategemee ile ya Muhimbili, ambayo tunaambiwa ni mbovu ndo maana wakaishia kwenda kutupa viungo hivi huko Bunju, kweli hawa jamaa wanapiga hela, (BIG PROFIT with low running cost ) mashine ya kuchomea taka, tunajua hospitali ni mahali panapozalishwa taka nyingi, Infectious and Biohazard wastes iweje hospitali iendeshwe bila kuwa na mfumo maalumu wa kuteketeza taka, mamlaka husika zinakuwa wapi, wizara ya afya, wizara ya mazingira, wizara ya elimu,Tume ya vyuo vikuu, Medical Association of Tanzania, MAT na wadau wengine, ikiwemo wa nje ya Nchi, make chuo chenyewe kinajitambulisha kama "International" Medical and Technology University,IMTU, je kinakidhi viwango vya kimataifa au ndo yale yale ya Saint flani flani international academy/ English medium school kama tunavyoona kwa hizi shule za english medium school.
Je hakuna utaratibu wa mara kwa mara kuangalia ubora, frequently quality check up kuanzia kwenye curriculum development and adherence, students recruitment/entry grades,staffing/human resources na miundo mbinu,Infrastructures. Kuna taarifa kulifanyika assessment kwenye hiki chuo,ilifanywa na baraza la madaktari wa binadamu na kinywa la Africa Mashariki, ( Medical Association of East Africa) mwaka 2010, mojawapo ya final recommendation ilikuwa ni chuo kisimamishe huduma hadi pale kitakapokidhi 'minimum requirement criteria, je utekelezaji wake uliishia wapi? au ndo mambo ya Nchi ya kitu kidogo.
Pia kuna hili tamko la kukifungia chuo, inawezekana ni tamko stahiki, lakini je tumefikiria hatima ya wanafunzi waliopo hapo chuoni, kuna karibia wanafunzi 1000, wataenda wapi, tukumbuke kuna walio mwaka wa tano, mwaka wa nne, mwaka wa 3, mwaka wa pili,na wa mwaka wa kwanza, waende wapi, na tukumbuke IMTU ndicho chuo chenye Tuition fee kubwa zaidi kuliko vyuo vyote hapa Nchini, wazazi na wanafunzi wataathirika kwa kiasi gani?, is it fair?
Tafakari.
Mwandishi ni medical professional.
Kumejitokeza mtiririko wa matamko mbalimbali,ikiwemo la MAT, Chama cha madaktari Tanzania, Human Rights Center etc, na tutegemee matamko mengine kufuatia. Siyo kitu kibaya ,wanatimiza wajibu wao kuonyesha wako 'alive",( justification for their existance).
Swali la kijiuliza ni iweje kunapotokea tatizo ndo tuone mtiririko wa matamko, kwanini tusiwe na utaratibu wa kuzuia mapema, iweje chuo na hospitali kubwa kama IMTU isiwe na INCINERATOR, ( ikumbukwe mwanafunzi mmoja wa IMTU analipa karibia milioni 6 za tuition fee, kwa wale wa kozi ya udaktari,kuna wanafunzi karibia 800 wa kozi hii, achilia mbali kozi zingine za maabara na Nursing, kweli hawa jamaa wanashindwa kununua incinerator hadi wategemee ile ya Muhimbili, ambayo tunaambiwa ni mbovu ndo maana wakaishia kwenda kutupa viungo hivi huko Bunju, kweli hawa jamaa wanapiga hela, (BIG PROFIT with low running cost ) mashine ya kuchomea taka, tunajua hospitali ni mahali panapozalishwa taka nyingi, Infectious and Biohazard wastes iweje hospitali iendeshwe bila kuwa na mfumo maalumu wa kuteketeza taka, mamlaka husika zinakuwa wapi, wizara ya afya, wizara ya mazingira, wizara ya elimu,Tume ya vyuo vikuu, Medical Association of Tanzania, MAT na wadau wengine, ikiwemo wa nje ya Nchi, make chuo chenyewe kinajitambulisha kama "International" Medical and Technology University,IMTU, je kinakidhi viwango vya kimataifa au ndo yale yale ya Saint flani flani international academy/ English medium school kama tunavyoona kwa hizi shule za english medium school.
Je hakuna utaratibu wa mara kwa mara kuangalia ubora, frequently quality check up kuanzia kwenye curriculum development and adherence, students recruitment/entry grades,staffing/human resources na miundo mbinu,Infrastructures. Kuna taarifa kulifanyika assessment kwenye hiki chuo,ilifanywa na baraza la madaktari wa binadamu na kinywa la Africa Mashariki, ( Medical Association of East Africa) mwaka 2010, mojawapo ya final recommendation ilikuwa ni chuo kisimamishe huduma hadi pale kitakapokidhi 'minimum requirement criteria, je utekelezaji wake uliishia wapi? au ndo mambo ya Nchi ya kitu kidogo.
Pia kuna hili tamko la kukifungia chuo, inawezekana ni tamko stahiki, lakini je tumefikiria hatima ya wanafunzi waliopo hapo chuoni, kuna karibia wanafunzi 1000, wataenda wapi, tukumbuke kuna walio mwaka wa tano, mwaka wa nne, mwaka wa 3, mwaka wa pili,na wa mwaka wa kwanza, waende wapi, na tukumbuke IMTU ndicho chuo chenye Tuition fee kubwa zaidi kuliko vyuo vyote hapa Nchini, wazazi na wanafunzi wataathirika kwa kiasi gani?, is it fair?
Tafakari.
Mwandishi ni medical professional.