Engineer Mohamed
JF-Expert Member
- Jul 27, 2007
- 451
- 9
Hao mabulls wenyewe wanasemaje kuusiana na kutokuwa na umeme siku zote hizo, wanamkakati gani wakati hicho kifaa kinasubiriwa, ina maana hawakuwa hata na spare walisubiri kife ndowaagize?
weee kuwa na heshima tafadhali,unaweza ukaja kutukana BABA ZAKO na WAJOMBA zako humu.