Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
Shirika la Umeme Nchini (Tanesco), limesema kukatika kwa umeme katika miji ya Dar es Salaam na Zanzibar juzi usiku kumesababishwa na njia ya umeme kati ya Morogoro na Ubungo kuzidiwa na mzigo.
source Nipashe
......
Dk. Rashid alifafanua kuwa kwa upande wa Zanzibar njia inayopeleka umeme visiwani ilipata hitilafu kufuatia vikombe kupasuka baada ya kuzidiwa na mzigo mkubwa wa umeme.
...... Umeme huo ulirejea jana alfajiri kwa upande wa Dar es Salaam na kwamba Zanzibar tatizo limeendelea kutokana na hitilafu zilizoko kwenye mitambo ilioko Ras Fumba visiwani hapo, kwa mujibu wa taarifa ya Tanesco. Kifaa kibovu kilichosababisha tatizo kati ya Dar es Salaam na Morogoro kiliondolewa jana saa 5:30 asubuhi baada ya kugundua eneo lenye hitilafu.
source nipashe
haya mwiba lete mengine, mwaka huu hamna maneno ya kutuwambia gogo tushalichanja
source Nipashe
......
Dk. Rashid alifafanua kuwa kwa upande wa Zanzibar njia inayopeleka umeme visiwani ilipata hitilafu kufuatia vikombe kupasuka baada ya kuzidiwa na mzigo mkubwa wa umeme.
...... Umeme huo ulirejea jana alfajiri kwa upande wa Dar es Salaam na kwamba Zanzibar tatizo limeendelea kutokana na hitilafu zilizoko kwenye mitambo ilioko Ras Fumba visiwani hapo, kwa mujibu wa taarifa ya Tanesco. Kifaa kibovu kilichosababisha tatizo kati ya Dar es Salaam na Morogoro kiliondolewa jana saa 5:30 asubuhi baada ya kugundua eneo lenye hitilafu.
source nipashe
haya mwiba lete mengine, mwaka huu hamna maneno ya kutuwambia gogo tushalichanja