toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Baadhi ya maeneo ya Ubungo hatuna umeme sahizi
Wamekata mara nne leo mchana, asubuhi na usiku huu wamekata tena
Nia yao ni tulale Giza
Hili shirika limetutia hasara sana kila mtu sasahivi analalamika vitu vyake kuharibiwa au kuungua na wengi wanalia friji zao zimeharibika
Sahivi maeneo mengi ya Ubungo hayana umeme na baadhi ya kimara
Ubungo ndipo ilipo mitambo ya Songas lakini ndo kitovu cha migao ya umeme nchini
Wamekata mara nne leo mchana, asubuhi na usiku huu wamekata tena
Nia yao ni tulale Giza
Hili shirika limetutia hasara sana kila mtu sasahivi analalamika vitu vyake kuharibiwa au kuungua na wengi wanalia friji zao zimeharibika
Sahivi maeneo mengi ya Ubungo hayana umeme na baadhi ya kimara
Ubungo ndipo ilipo mitambo ya Songas lakini ndo kitovu cha migao ya umeme nchini