SAKATA LA UMEME ZANZIBAR: Lawama kwa Serikali, Tanesco ama ZECO?

lets keep our fingures crossed ... iwe kesho ki kweli kweli ... they have our support and prayers ... maana watu wanataabika sana
 
Poleni na hongereni. Fundisho kubwa kwa Visiwani watafute vyanzo vingine vya umeme kama vile wa nguvu ya jua na upepo hii ya kusubilia wire kutoka bara si njema sana, yaani hata kama kuna mgongano ama kutofautiana ni rahisi kufanyiwa sabotage
 
Ni watupu ndio coz hayo madata yote ni kwenye makaratasi tu, kwenye reality hamna lolote, na wananchi wanajua hilo.
Utakingia kifua sana mwaka huu. ila kumbuka la kuvunda.......
Wasalimie kisonge.

Hii ni kweli data hizi ni za kinadharia tu kuwafumbwa watu macho lakini hali halisi inajionyesha kwa wananchi. Uchumi gani ulopanda ikiwa watu wasio na ajira wameongezeka, huduma za jamii zimedumaa, bei za bidhaa zimepanda mara dufu.

Na kusema umeme haukuathiri uchumi ni uongo kwani huduma zote zilisimama si maofisi ya serikali au kwenye sekta nyengine kama utalii sasa kulipa wafanyakazi wasofanya kazi si hasara hiyo? - ee kumbe nimesahau kwao ni kawaida kwani maafisi yote yamejaa ajira Kama na kama kawaida yao hata kungelikuwa na umeme uzalishaji wao ni nil ndio maana wakasema hakuna athari.

Mapinduzi Daima.
 
Poleni na hongereni. Fundisho kubwa kwa Visiwani watafute vyanzo vingine vya umeme kama vile wa nguvu ya jua na upepo hii ya kusubilia wire kutoka bara si njema sana, yaani hata kama kuna mgongano ama kutofautiana ni rahisi kufanyiwa sabotage
Ni maneno muafaka kwa Wazenj... Natumai serikali na wananchi wake wamejifunza mengi kutokana na hili...

Ule mradi wa kuzalisha umeme toka jaa kuu la Jumbi unafaa kutazamwa upya.
 
Visiwa vya Zanzibar ambavyo vimekuwa katika giza kwa karibu mwezi mzima vinatarajiwa kupata umeme wa gridi ya Taifa kesho. Vyanzo vya Tanesco vimewaasa wananchi wa Zanzibar kuzima vyombo vyao vya umeme ili visije kuunguzwa na nguvu ya umeme utakaporudi. Muda na saa havijulikani.

Kwa hiyo kwa wakazi wa Zanzibar:
"Kesheni Mkiomba maana hamjui saa wala Dakika"
 
Ni maneno muafaka kwa Wazenj... Natumai serikali na wananchi wake wamejifunza mengi kutokana na hili...

Ule mradi wa kuzalisha umeme toka jaa kuu la Jumbi unafaa kutazamwa upya.

kibu......

leo tayari umeme tumeanza kupata,acha niitoe upepo water pump yangu then niiwashe.
 
Kwani nani aliwaambia kama hakuna umeme Zanzibar ,mlikuwa mnaota nini?
Yaani mkipiga makelele hamjui kitu ninavyofahamu mimi umeme ulikuwepo Zanzibar ila ulizimwa na sasa wameuwasha ila sehemu zile wanazoishi jamii ya watu kutoka pemba bado hawajawashiwa.
 
Kwani nani aliwaambia kama hakuna umeme Zanzibar ,mlikuwa mnaota nini?
Yaani mkipiga makelele hamjui kitu ninavyofahamu mimi umeme ulikuwepo Zanzibar ila ulizimwa na sasa wameuwasha ila sehemu zile wanazoishi jamii ya watu kutoka pemba bado hawajawashiwa.
Naona leo umekereka kwa umeme kurudi Zenj... kwa kuwa umezoea umeme wa mgao nakushauri jioni ya leo panda meli na uende Chakechake
 
Thnx kwa ujumbe kibunango. Huyo Dk wao hamna kitu mkuu na ndio maana ameshindwa kudeliver, nia hana na uwezo pia haupo.

I must say Karume kept his word. Thumbs up to the Engineers that worked tirelessly to restore modern civilization on the Isles!
 
Just setting the record straight in case somebody is getting a history lesson out of this as well.

Naimaomari said

amani ni kama maria antoinette mke wa king Napoleone Bonaparte wa ufaransa

Marie Antoinette (ambaye hakuwahi kusema maneno hayo aliyosingiziwa actually) alikuwa ni mke wa Louis XVI, siyo Napoleon.

Just straightening that one out.
 
I must say Karume kept his word.

Thumbs up to the Engineers that worked tirelessly to restore modern civilization on the Isles!

Bonge la contradiction!

Unaona kwa nini Watawala wetu wanashinda kila siku na CCM inaendelea bure "kushika Utamu'?

Karume kaambiwa na mafundi kazi itakamilika siku wa kadhaa, halafu yeye kaja kututangazia sisi. Iweje apewe yeye credit ya uaminifu?

Na unaona kabisa - na Insurgent umesema mwenyewe - ni mafundi ndio walifanya kazi madhubuti kurudisha umeme!

Unaona tatizo letu hapo?
 
Bonge la contradiction!

Unaona kwa nini Watawala wetu wanashinda kila siku na CCM inaendelea bure "kushika Utamu'?

Karume kaambiwa na mafundi kazi itakamilika siku wa kadhaa, halafu yeye kaja kututangazia sisi. Iweje apewe yeye credit ya uaminifu?

Na unaona kabisa - na Insurgent umesema mwenyewe - ni mafundi ndio walifanya kazi madhubuti kurudisha umeme!

Unaona tatizo letu hapo?

Hapa naongelea maneno aliyowapa wale wakulima aliowatembelea.
mfano: "Nitakupa hela nitakapopata mshahara wiki ijayo"
Hapa unalipa ukipewa mshahara on time...so, should the credit go to you or your employer?

This is why...though I praised him for keeping his word to the farmers BUT I didn't stop there...I also praised the people behind that word!

Sihaswa kila mahali...
 
Kwani nani aliwaambia kama hakuna umeme Zanzibar ,mlikuwa mnaota nini?
Yaani mkipiga makelele hamjui kitu ninavyofahamu mimi umeme ulikuwepo Zanzibar ila ulizimwa na sasa wameuwasha ila sehemu zile wanazoishi jamii ya watu kutoka pemba bado hawajawashiwa.

Mheshimiwa Mwiba . Hongera kwa kurudishwa umeme Zanzibar. Afana aleik.
 
Back
Top Bottom