BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
- Thread starter
- #21
Huyo ndo simba mla nyama atatosheka vipi???
njoo huku mbezi beach alivyojengea Nyumba ndogo gorofa moja baada ya nyingine kinachomzumbua ni kubeba mizigo inayotaka gorofa ndio maana anaiba ili aijengee awaridhishe shida tupu Mungu si jui kwa nini asiwawaishe watu kama awaondoe dunian tubaki na nyani na sio simba tena
bila aibu yaani walitaka kuipiga NBC bila aibu ila huu mchongo mnaonmwona simba kuna wakubwa zaidi ya simba nyuma yake lakini Mungu mweza yote atafichua uchafu wote..na lile soko la pale Makumbusho jamani wamemmlikisha mhuni mmoja wa BOT tumekaa kimya ati anajenga gorofa akodishe kwa manispaa laana hizi bora nikaishi JUBA