<br /><b>kwanini UDA pekee ?<br />
<br />
je jamii inafahamu kiwanda cha mgororo kilivyobinafsishwa kwa shs mamilioni ya shs tu?<br />
kuna mashirika mangapi yalibinafsishwa kijinga? je tuanze kuyachambua yote au tatizo ni UDA?<br />
</b>
<br />
Huenda sijakuelewa? Hivi unataka tusijadili UDA COZ kuna mashirika mengine yalibinafsishwa kijinga?
Hatuwezi kuendeleza "ujinga" wa namna hii. Kutokataa kuendelea kuibiwa ni upumbavu. Sisi siyo wapumbavu.
Tusiposimamia raslimali za nchi vizazi vijavyo vitafukua makaburi yetu na kuchoma mifupa na kutupa majivu baharini ili wapate maeneo ya kuendesha shughuli za uchumi. Majivu ya mifupa yetu iwe chakula cha samaki ili wawavue na kuongeza kipato.
Tupambane na ufisadi sasa kwani tukisubiri kesho tutakuwa tumechelewa.