Sakata la UDA: Bomu lingine lalipuliwa!

Sakata la UDA: Bomu lingine lalipuliwa!

Tunadai nchi ila utawala!! Mimi hata siuoni, nachoona nchi iko kama kipofu anavyopapasa kwenye giza kutafuta njia.

my foot CCM government...
 
Asante ukweli ni kuwa SIJUHI KUSOMA , Vipi wewe MSOMI? unaweza kunisaidia kufafanua Tofauti ya USAJILI wa KAMPUNI kupitia SHeria hizo za 2 cap 2 na 1 cap 2 ( Sinauwakika kwani ili nililisikia na kuona jana kwenye TV)

Kuhusu LTD pia sijuhi ila nachokumbuka Simoni alitoa mfano kwa Kubenea na kumuambia kampuni yake ni LTD na ina Unallote shares kam nakumbuka vizuri.

Nasubiri majibu yako MSOMI mimi KILAZA.

Kazi kweli kweli.
 
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee UDA wanauza hisa wakati wao sio wamiliki. God bless us. na waliofanya hayo madudu wanadunda na kupotosha ushahidi wapo huru. Hawa hawakuiba kuku bali ni wahujumu wa uchumi.
 
Marekani ikiwa ni Kinara na kiongozi wa UBEPARI, bado public transport ipo chini ya local government, HII NCHI YETU TUNAYOIGA UBEPARI BILA HATA KUTAMKA KUWA TUMEFUTA UJAMAA, tunabinafsisha usafiri wa uma. TATIZO SI UMA NI MIJITU MIBINAFSI ISIYOCHUKULIWA HATUA. inanikera sana
 
Popote palipo na ubinafsi zaidi ya uzalendo, usitegemee maendeleo. Ili tuondokane na umaskini tunahitaji viongozi walio mfano bora ktk uzalendo na elimu ya uzalendo ifundishwe mashuleni kuanzia shule ya msingi.
 
mabomu ya kisena yanaanza kulipuka hakika JF kiboko, alaaniwe aliyetaka ifungiwe
 
umeongea
Marekani ikiwa ni Kinara na kiongozi wa UBEPARI, bado public transport ipo chini ya local government, HII NCHI YETU TUNAYOIGA UBEPARI BILA HATA KUTAMKA KUWA TUMEFUTA UJAMAA, tunabinafsisha usafiri wa uma. TATIZO SI UMA NI MIJITU MIBINAFSI ISIYOCHUKULIWA HATUA. inanikera sana
Omeongea Point Mkuu, China Na marekani, Benk za wananchi, Telecom, Usafiri bado zinabaki kuwa za serikali, eti anatokea mtu anafisafi na anabaki hai, acha KISENA Asenuke huko gerezani wengine wakina Idd Simba, Profesa Kapuya wamfuate hapo watanzania wataikoma kuila mali ya serikali maana wanatuumiza sisis walala pwiii
 
Back
Top Bottom