William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
1.
kwanza si kweli kuwa Nchimbi alifeli darasa la saba na kwenda kusoma sangu,bali Nchimbi alikwenda kusoma Uru seminary ambako uko alisoma na kina Dk cyril Chami,ANtony Komu,Josephat Kweka etc...
Muongo mkubwa wewe, Seminary zilikuwa ni shule za private kama zingine zote, infact zilikuwa ni shule za watu wanatayarishwa kuwa mapadri, lakini otherwise zilikua ni shule za private ndio maana aliaomaua kutokuwa padri ilibidi ahamie shule ya Private ya Sangu kwa sababu asingeweza kukubaliwa na shule ya serikali, hapo peke yake huo ni uongo mkubwa sana mkuu.
mimi sijawahi kusikia mtu amepasi darasa la saba anatakiwa kwenda seminary, ninajua watu karibu wote walifeli la saba ndio waliokuwa wanakwenda seminary, unelss tu some cases ambapow azazi wao walitaka wasomee upadri kwa hiyo kwenye hilo mkuu wavunge wengine sio mimi!
2.
wakwti ule shule za seminary zilikuwa ni bora kuliko za serikali na hata inerview yake watu wajinga kama wewe walikuwa hawawezi kupass.
Mkuu mimi nilisoma Primary School Jamhuri, Mnazi Mmoja pembeni ya Cameo Cinema, nika-pass na kwenda kusoma Kwiro Secondary School, shule ya serikali form one -form four, kwa hiyo mujinga hapa ni wewe ambaye hukupass na kwenda kusoma Sangu kama Nchimbi.
Yaani kama kuna maana ya neno mjinga sijui nitakuitaje bro, maana nasikia hata kutapika if I have to go kwenye hiyo avenue ya wewe na ujinga, eti ulienda kwenye mkutano wa watu wenye akili kuhusu EAC ukijatambulisha kuwa wewe ni Law-enforcement? Unajua mpaka leo watu huwa hawaishi kucheka na kwamba sasa wewe ni Homeland Security? Bwa! ha! ha! ha! ah! ha ! nasikia wakati mwingine huwa unakuwa FBI bwa! ha! ha! ah! ah! mara bongo usalama bwa!ha!ha!ha!ah!
Mpaka utakpojifunza kuandika lugha za kistaarabu, this time nitakufundihsa adabu.
hii ndio elimu suspect ya Nchimbi:-
Sangu Secondary School Secondary Education 1989 1990 SECONDARY
Uru Seminary Secondary Education 1987 1989 SECONDARY
Oysterbay Primary School Primary Education 1980 1986 PRIMARY