Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

mwenyekiti Wa Taifa-ccm -----raisi Jakaya Mrisho Kikwete

Mwenyekiti Wa Ccm Vijana----ridhiwani Jakaya Mrisho Kikwete

Diwani Wa Bagamoyo-----mrs Ridhiwani Jakaya Mrisho Kikwete

Mjumbe Wa Halmashauri Kuu Ccm-----mrs Jakaya Mrisho Kikwete

Jamani Hakuna Bunge La Watoto Tumpe Kale Katoto Machachari Kilichomibia Babake Usd 10,000 Akakimbilia London..huyu Ndie Alitakiwa Atuongoze Uraisi Badala Ya Babake..baada Ya Kuiba Mashallah Jamani Na Wengine Tulizila Zile Hela Hakuwa Mchoyo Mtoto Hana Hiana Ukimwambia Kuna Kimeo Kiko Bomba Kinataka $ Kadhaa Hana Iana Dk 1 Ashafika Unachukua Chako Unmwachia..marafiki Wajanja Usiseme ..tunataka Viongozi Kama Hawa Whata Kama Wanaiba Wanakula Na Masikini Na Pengine Kakimata Hata Uwaziri Kanaweza Fadhili Jf Kufungua Television Ya Jamiiforums Tanzanania (tjt)
 
"Mzee Mwanakijiji;232017]PM.. nilidhani umesema ni Mwenyekiti wa UVCCM.. sisi wengine tusio na chama au ambao si CCM tuna haki gani kujadili uchaguzi wa kiongozi wa jumuiya ya CCM? Nadhani wale wana CCM na hasa vijana wa CCM waliopo hapa ndio wanahaki ya kufanya hivyo. Ila akitaka kugombea Ubunge he is a fair game."

Ndugu yangu Mwanakijiji,

Ingawa mimi sio mwanachama wa CCM, mambo ya chama hicho hayawezi kuepukika na Watanzania, yanatuhusu Watanzia wote kwa ujumla wetu. Mambo ya chama hicho yawahusu WaTz wote kwa sababu kwa sasa CCM ndicho chama tawala na maamuzi yake, yawe mazuri au mabaya yanawagusa na kuwaathiri Watanzania wote. Kwa sababu hiyo, wasio wanachama wa CCM kujadili juu ya Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama hicho ni jambo muhimu na hasa kwa sababu nafasi ya Mwenyekiti wa Vijana Taifa ni muhimu na yenye influence watu.
 
Mambo ya UVCCM yanaihusu CCM na CCM kama chama tawala mambo yake yanalihusu Taifa. Kwa hiyo, mambo ya UVCCM yanahusu Taifa pia.
 
Ningekuwa mimi ni Jakaya Kikwete, ningemwambia mwanangu Ridhiwani "focus on your professional for 10 years, then think about other things that you could do"!

Kinachotokea Tanzania ni "New Wave" ya opportunity na kwa kuwa Watanzania ni wavivu wa kufanya kazi, ubunifu na ufanisi, tunakimbilia political posts ili tujichumie haraka haraka!
 
Mimi nafikiri Ridhiwani anaona njia ya mkato ya kumrithi baba yake JK ni kupitia UVCCM....
 
Kwani lipi la ajabu? Benki kuu si hao hao. Na kama watatapakaa hata CCM kuna ubaya gani? Kaondoka sultani Zanzibar mwenye ndevu mvaa kilemba akaja sultani mwenye masharubu mvaa barghashia.Nani kasema? Na bado wanaandaliwa masultani wa miaka kumi kumi wengine. IKO MANENO?
 
Kwani lipi la ajabu? Benki kuu si hao hao. Na kama watatapakaa hata CCM kuna ubaya gani? Kaondoka sultani Zanzibar mwenye ndevu mvaa kilemba akaja sultani mwenye masharubu mvaa barghashia.Nani kasema? Na bado wanaandaliwa masultani wa miaka kumi kumi wengine. IKO MANENO?



Haaaaaaaaaaaaaaa hii kali tehe tehe tehe!
 
Hata mimi nishakuwa bubu muda mrefu lakini sasa nalazimika kuongea, kwa akili zangu mtindi naona mwacheni huyo Kongoni agombee.

Kongoni hastaarabiki kwa kulala kwenye kitanda kizuri, atafanya upumbavu wake hadharani kama wanavyofanya yeye na baba yake kwasababu habari zake tunazo akiwa na upumbavu wake huku nje ya vyeo pamoja na watoto wengine ambao baba zao ni big potatoes serikalini. Tumwache atumie pesa zetu kujimaliza yeye na baba yake mapema zaidi.

Upumbavu wanaoufanya kwa sasa sio swali la kuuliza kama huyo mtoto ni mfupi au mrefu wa akili, afadhali hata baba yake maana anajua kunyamaza na kuwasaniii watanzania wenye bongo zilolala kama yangu kuwa atapigana hadi wote tuendeshe helikopta na sisi tunakubali tukiona kabisa tunavyopelekwa shimoni.

Nadhani tukifikia kujambiwa kwenye nyuso zetu na kuisikia harufu mbaya ya hii nchi tutaamka na kuamini inanuka na inatakiwa kusafishwa mapema kabla haijaoza ikashindikana kukalika.
 
kidogo ninachojua ni kwamba huyu mtoto ni mwongo, mwongoooo, yani hajatulia mapepe mapepe hivi, mpepesa macho, kati ya kumi anayoongei ukweli unaweza kuwa ni nusu tu, yani hata moja haijatimia...... like father like son....

Mtoto wa nyoka ni nyoka, ingawa moto huzaa majivu.
 
mwenyekiti Wa Taifa-ccm -----raisi Jakaya Mrisho Kikwete

Mwenyekiti Wa Ccm Vijana----ridhiwani Jakaya Mrisho Kikwete

Diwani Wa Bagamoyo-----mrs Ridhiwani Jakaya Mrisho Kikwete

Mjumbe Wa Halmashauri Kuu Ccm-----mrs Jakaya Mrisho Kikwete

Jamani Hakuna Bunge La Watoto Tumpe Kale Katoto Machachari Kilichomibia Babake Usd 10,000 Akakimbilia London..huyu Ndie Alitakiwa Atuongoze Uraisi Badala Ya Babake..baada Ya Kuiba Mashallah Jamani Na Wengine Tulizila Zile Hela Hakuwa Mchoyo Mtoto Hana Hiana Ukimwambia Kuna Kimeo Kiko Bomba Kinataka $ Kadhaa Hana Iana Dk 1 Ashafika Unachukua Chako Unmwachia..marafiki Wajanja Usiseme ..tunataka Viongozi Kama Hawa Whata Kama Wanaiba Wanakula Na Masikini Na Pengine Kakimata Hata Uwaziri Kanaweza Fadhili Jf Kufungua Television Ya Jamiiforums Tanzanania (tjt)

........kanaitwa KA MIRAJI ....kapo hapo BOSTON UNIVERSITY............sijui kamepata wapi CREDITS..au mukandara kasaidia tena ..although kanachukua BARCHELORS.........
 
ningekuwa Mimi Ni Jakaya Kikwete, Ningemwambia Mwanangu Ridhiwani "focus On Your Professional For 10 Years, Then Think About Other Things That You Could Do"!

Kinachotokea Tanzania Ni "new Wave" Ya Opportunity Na Kwa Kuwa Watanzania Ni Wavivu Wa Kufanya Kazi, Ubunifu Na Ufanisi, Tunakimbilia Political Posts Ili Tujichumie Haraka Haraka!


.....tatizo Ni Kuwa Hata Hiyo...degree Yake Wasiwasi....na Masters Amefeli ...na Mtihani Wa Mahakama Kuu Kusajiliwa Kuwa Wakili Amefanya ..lakini Jina Lake Kwenye Mawakili Wapya Sijaliona.....sasa Where Is The Proffession There....i Think Kumuita Riz Mwanasheria Ni Kama Kumuita Kikwete Mchumi ....wakati Hajawahi Kuifanya Kazi Ya Mchumi...
 

.....tatizo Ni Kuwa Hata Hiyo...degree Yake Wasiwasi....na Masters Amefeli ...na Mtihani Wa Mahakama Kuu Kusajiliwa Kuwa Wakili Amefanya ..lakini Jina Lake Kwenye Mawakili Wapya Sijaliona.....sasa Where Is The Proffession There....i Think Kumuita Riz Mwanasheria Ni Kama Kumuita Kikwete Mchumi ....wakati Hajawahi Kuifanya Kazi Ya Mchumi...

Hivi kinachokupelekea kuanzisha majungu hayo ni chuki yako binafsi na kizazi cha watawala wa nchi hii, uswahili wa kikwete ama unadhani hili litamsaidia mwizi mwenzio Jery Slaa kushinda uchaguzi? Vipi kaka na wewe mmoja wa wafadhili wake ama member wa genge la Mramba na wenzie katika mkakati wa kujijengea ngome ya kulinda machafu yao kwa kutumia ukabila?

Halafu mkiambiwa mna ukabila na chuki kwa wengine mnasema eti huyu siasa kali....

Acheni ujinga huo Tanzania ya wote na kina kikwete ni miongoni mwa wote.

Ridhwani ni mwanasheria na angelijiita wakili ndio angekuwa amekosea....ama kiswahili ni lugha ya tatu kwako?

Tanzanianjema
 
Huyu anayetetea Kikwetez na wengineo nadhani ni walewale waliolishwa limbwata na ccm, kama hakupewa kofia na khanga nyingi kwa mkewe kipindi cha uchaguzi basi ana ka-post ambako hao akina kikwete wasipokamata madaraka hako ka-post katakuwa matatani.

Samahani ndugu kama nitakuwa nimekukosea lakini kwa AKILI ZANGU MTINDI sidhani kama kuna la kuuliza tukiona ukoo mzima wa mzee mzima unakimbilia madaraka ya chama chetu tawala, hata mtoto mdogo anaweza kukujibu baba yao amewaeleza kuna nini ikulu na njia za kuvipata vilivyoko ikulu.

Sasa mbio zinaanzia huku na usishangae miaka michache ijayo kesho kutwa utasikia huyo jamaa Riz anagombea ati uenyekiti ccm Taifa. Sisi walalahoi tutaishia kung'ang'ana na utendaji wa kata. KUNA NINI IKULU HADI UKOO MZIMA UKIMBILIE HUKO? Siri ni kubwa, maana kazi ni nyingi lakini hakuna atakaye, wote wanataka kwenda kukalia masofa ya head office kula na kunywa.

Ingawa najua sio mjumbe wa kamati lakin basi ikitokea kura yangu imehesabiwa mimi nakataa, SIKUBALIANI NA HILI
 
Hivi kinachokupelekea kuanzisha majungu hayo ni chuki yako binafsi na kizazi cha watawala wa nchi hii, uswahili wa kikwete ama unadhani hili litamsaidia mwizi mwenzio Jery Slaa kushinda uchaguzi? Vipi kaka na wewe mmoja wa wafadhili wake ama member wa genge la Mramba na wenzie katika mkakati wa kujijengea ngome ya kulinda machafu yao kwa kutumia ukabila?

Halafu mkiambiwa mna ukabila na chuki kwa wengine mnasema eti huyu siasa kali....

Acheni ujinga huo Tanzania ya wote na kina kikwete ni miongoni mwa wote.

Ridhwani ni mwanasheria na angelijiita wakili ndio angekuwa amekosea....ama kiswahili ni lugha ya tatu kwako?

Tanzanianjema


...wewe ..... nini?.....haya yote unayoyasema yametoka wapi....nimchukie huyo mtoto mdogo ..asiyejua hata analofikiri ananisaidia nini....kama wewe unafaidika au ni "partner" wake its up to you ....lakini kama alivyosema mnjumbe mmoja hapa....hakuna haja ya mtu kutumia kofia ya mume au baba kushinda !!!.......asubiri baba/mume angatuke aoneshe uwezo wake...kama ni kazi mbona nyingi tu!!!

mengine uliyonena na kufikiri ..sina maoni ...umetumia uhuru wako wa kujieleza!!!......lakini mwisho wa siku tutafanikiwa kuondoa kuzuka kwa usultani ndani ya chama!!!
 
MMoja wa watu wanaowania nafasi ya Mwenyekitiw a taifa wa Umoja wa Vijana, nape Nnauye, amemvaa Mwenyekiti wa Bodi ya Waadhamini wa umoja huo, edward Lowassa pamoja na mwenyekiti wa Sasa, Emmanuel Nchini na kuwataka kuachai nafasi zao za uongozi mara moja kutokana na kuhusiaka na ufisadi.
Akizungumza muda mfupi baada ya kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo, Nape amesema kuwa Lowassa na nchimbi wanahusika na mkataba wa kifisadi wa mradi wa kuendelea jengo mla umoja huo katika eneo la Lumumba, Dar es Salaam.

Amesema kuwa mwekezaji aliyepewea kuendeleza jengo hilo amepewa umiliki wa asilimia 75 ya hisa wakati umoja huo ukibakiwa na hisa 25 tu wakati mwekezaji huyo hakutoa hata senti moja katika mradi huo.

Alisema alichofanya mwekezaji huyo (ambaye hakumtaja) ni kutumia hati za umiliki wa jengo na kiwanja hicho kuombea mkopo benki ambao anautumia kuendeleza jengo hilo.

Amesema kinachosikitisha zaidi ni sehemu ya mkataba huo kinachoeleza kuwa makubaliano hayo ni ya masiaha, ikimaanisha kuwa familia ya mwekezaji huyo itaendelea kula fedha kupitia mgongo wa Umoja wa Vijana wa CCM.

Amesema kama vile ambavyo viongozi wa UWT na WAZAZI walivyowajibishwa kwa kushindwa kusimamia mali za jumuiya hizo, lowassa na nchimbi nao wanapaswa kuwajibishwa au kuwajibika kwa kushindwa kusimamia maliz a UVCCM.

Nape amesema kwua ameamua kuwania nafasi hiyo ili kukisafisha chama kutokana na kuchafuliwa na mafisadi.
 
Last edited by a moderator:
Huyu labda kaanza japo kujionyesha kuwa anaelekea wapi ila ataweza?

Duhh, ufisadi unawatafuna hata ndani kwenu, ? Kiboko akiwa na njaa hutafuna hata watoto wake ....ufisadi ukikomaa sana mafisadi hutafunana wenyewe kwa wenyewe...
 
Its A Good Move, But Fisadi Sports Club May Stop Him....
 
Its A Good Move, But Fisadi Sports Club May Stop Him....

Mwenyewe anaahidi kwua safari hii yuko determined kuhakikisha kuwa anasafisha uchafu ndani ya chama. Sijui kama ni dhamira ya dhati au maneno ya kuombea kura tu. Tusubiri tuone
 
kusema wazi lengo lake ni moja ya sehem ya kushindwa..kwanini asingeenda kimya kimya then atakapo ukwaa huo uenyekiti...
 
Back
Top Bottom