IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
Hapo ndipo mizizi itapochimbika kama itakuwa kweli, sijui kama hizo ndoto zitatimu, lakini waache wafu wazikane wenyewe.
Ahaaa haaa, ilikuwa zamani siku hizi huo ubavu hana kwa sababu akina JK walishamtumia na hawana shida naye tena! Huyu Nape ana nafasi kubwa sana, and, to be honest, he could the best among those who have declared their intentions so far!.
hapo naweza kusema kuwa "unamuwazia,unamtungia,unamsemea then unamuhukumu kwa kusema mambo ambayo umemsemea wewe.hapo hakuna haki ambayo wote mnaililia hapa.Mkuu Gembe,
mbona kauri hizi zinafanana na za kule kwa Jongwe (Robert Mugabe)! Hivi yale makeke ya Tanzania na Demokrasia yako wapi?
Ahaaa haaa, ilikuwa zamani siku hizi huo ubavu hana kwa sababu akina JK walishamtumia na hawana shida naye tena! Huyu Nape ana nafasi kubwa sana, and, to be honest, he could the best among those who have declared their intentions so far!.
Kitila,
Kila mtu anataka Nape Apite,ila kuna kitu nyuma..hawampendi nape..so fara waliochukua Fomu ni kama ifuatavyo
1.Jerry silaa
2.Musa Mnyeti
3.Beno Malisa
wengnie sifahamu...
Kubwa jinga bwana,
Dr. W. Slaa
Jerry Silaa
hope you have seen the difference.hawana uhusiano wowote zaidi ya ule wa kufanana herufi za majina yao
Huyu ameanza kama Wangwe tofauti yao ni shule. Naona tumuite Nape kuwa ni Wangwe wa UVCCM.
Akizungumza muda mfupi baada ya kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo, Nape amesema kuwa Lowassa na nchimbi wanahusika na mkataba wa kifisadi wa mradi wa kuendelea jengo mla umoja huo katika eneo la Lumumba, Dar es Salaam.
Amesema kuwa mwekezaji aliyepewea kuendeleza jengo hilo amepewa umiliki wa asilimia 75 ya hisa wakati umoja huo ukibakiwa na hisa 25 tu wakati mwekezaji huyo hakutoa hata senti moja katika mradi huo.
Alisema alichofanya mwekezaji huyo (ambaye hakumtaja) ni kutumia hati za umiliki wa jengo na kiwanja hicho kuombea mkopo benki ambao anautumia kuendeleza jengo hilo.
Amesema kinachosikitisha zaidi ni sehemu ya mkataba huo kinachoeleza kuwa makubaliano hayo ni ya masiaha, ikimaanisha kuwa familia ya mwekezaji huyo itaendelea kula fedha kupitia mgongo wa Umoja wa Vijana wa CCM.
Amesema kama vile ambavyo viongozi wa UWT na WAZAZI walivyowajibishwa kwa kushindwa kusimamia mali za jumuiya hizo, lowassa na nchimbi nao wanapaswa kuwajibishwa au kuwajibika kwa kushindwa kusimamia maliz a UVCCM.
Nape amesema kwua ameamua kuwania nafasi hiyo ili kukisafisha chama kutokana na kuchafuliwa na mafisadi.
Ina maana katumwa na wapinzani kama vile wangwe alivyotumwa na ccm?
Be specific pls.
Nape peke yake hawezi.Anahitaji nguvu ya Frank Uhaula.Mwenyewe anaahidi kwua safari hii yuko determined kuhakikisha kuwa anasafisha uchafu ndani ya chama. Sijui kama ni dhamira ya dhati au maneno ya kuombea kura tu. Tusubiri tuone
Mwenyewe anaahidi kwua safari hii yuko determined kuhakikisha kuwa anasafisha uchafu ndani ya chama. Sijui kama ni dhamira ya dhati au maneno ya kuombea kura tu. Tusubiri tuone