Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Mtanda akiwa ofisini kwake ametoa mwenendo wa kesi hiyo ambapo kwa sasa limefika mahakamani na kuwataka wananchi kuwa na imani na Muhimili wa Maahakama kwakuwa utakwenda kutenda haki.
Credit Video: Global TV Online
Pia soma:
~ Kiongozi gani wa juu Kituo cha Polisi Kirumba anazuia tuhuma hizi za ulawiti kwa mtoto huyu wa Nyakato - Mwanza?
~ RC Mtanda atoa maelekezo kwa Mdau aliyedai kuna Kiongozi anamlinda mtuhumiwa wa Ulawiti kwa Mtoto