gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
wendawazimu kwelikweli. moja ya sababu za polisi kuwa na kawaida ya kukataa maandamano, ni baadhi ya wanaojivika waandamanaji kujiingiza katika unyang'anyi. wengi watapenda kujipitisha karibu na maduka yenye mali rahisi za kubebeka na kubomoa na kuzibeba
Yaani wizi tu unaoendelea.. Kifupi maandamano yalikuwa juzi na yalitambulika,lakini kwa kutopata majibu yaliyowaridhisha kutoka kwa DC,ndiyo wakapanga haya yaliyotokea leo..