gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
Kule mbeya Mr. Sugu Mbunge aliyechaguliwa na watu alienda kuwaomba wapigakura wake watulie kufuatia vurugu za maana dhidi ya serikali nao wakatulia, Unadhani mbunge wa huko akija wapigakura wake wataheshimu uwepo wake?
Mh...
Sidhani.. Sauti yake haisikilizwa nafikiri.. Sanasana hawa jamaa wenye hasira watampopoa kwa mawe.