Sadock Kabuko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 1,171
- 1,080
Sitetei chama wala nani nmepingana na huyu ndugu yangu kwa data alizoziweka na heading yake ilivyokaa otherwise abadili heading na baadhi ya datamkuu, miaka 8-10 ijayo mtakapokuwa kama Zimbabwe mtaanza kutafuta kuchinja vichwa vya hawa maprofesa (ambao ni messengers tu masikini) badala ya mhalifu halisi!