Mi Bado Najiuliza Nani Anatoa Hizi Hela Zinzotoka Kama Njugu,,atcl Nimesoma Wameingia Mkataba Na Samek Wa Kuleta Na Kurudisha,,na Nimesoma Wanadai Watapeleka Ndege Ok:::tunaombwa Tuelekezwe Yafuatayo
1))je Kama Mkataba Ni Kuwarudisha Kwa 3trips Na Ikatokea Badugu Wakakuta Kundi Zima Limesharudi Je Watarudisha Hizo Hela Walizochukua,
2))na Kama Hakuna Uwezekano Nani Awajibike Kwa Hili,,serikali Kupeleka Ndege Wakati Kuna Iliolipiwa Tayari Ambayo Haitafanmya Safari Zake Kama Ilivyo
3))kama Slots Zitachelewa Na Serikali Wanao Uwezo Wakulipia Hizo Ndege 2,,natumaini Wataenda Mara Mbili Mbili,,je Kwanini Tukubali Imeshatokea Wakatafutiwa Sehemu Nzuri Ya Kullala,,maana Nimeambiwa Na Mshikaji Guest House Ya 5000 Kipindi Hiki Ilikuwa 50,000,,imerudi ,then Zile Hela Za Kukodisha Ndege Nyingine Kila Hujaji Atakae Wasili Wampe Hata Dola 500 Ya Ahsante,,jamani Kukodi Natumaini Ni Zadi Ya Dola 50000,,so Hhizo Pesa Wakafutia Machozi Jamani,,,mungu Awalinde Uko Waliko
4)))serikali Tunaomba Mtupe Taarifa Kamili Mkishirikiana Na Atcl Ni Hasara Kiasi Gani Imeliingizia Taifa Kumbukeni Mlikuwa Mkitumia Pesa Za Walipa Kodi Kwa Kila Jambo,,,,na Kwa Hili Naomba Waandike Na Kusambaza Kila Gazeti Waliohusika Wamepata Adhabu Gani????maana Kuna Wengine Wameeenemeka Tumeambiwa Mpaka Inasikitisha Sana,,,
5)))tunaimba Chenge Ukishindwa Haya Yote Tunaomba Ujiuzulu Kabisa Na Tusikusikie Kwenye Magazeti Anymore