Sakata la Mafuta: Ni bifu la Dr. Mpango na Mwijage?

Sakata la Mafuta: Ni bifu la Dr. Mpango na Mwijage?

Hili bifu linashangaza.

Lakini inaelekea kiini ni pale Waziri wa Viwanda na Biashara kulalamika hivi karibuni kuwa Utendaji wa TRA unaathiri ukuaji wa maendeleo ya viwanda na Biashara.

Hata Rais Magufuli yuko on record kule Dodoma akionyesha kutoridhishwa na utendaji wa TRA na unavyoathiri viwanda na biashara.

Jana, Mh. Spika Ndugai ameonyesha kukerwa kwake na hili bifu kati ta TRA(Mango) ma viwanda vya mafuta(Mwijage) na jinsi mwananchi wa kawaida atakavyoumia.

Mtu wa kawaida anajiuliza, hivi Serikali inaanza kumeguka vipande vipande? Kila waziri aking'ang'ania sekta yake?

Watujuana wenyewe hayatuhusu......
 
That is why I say it is an issue above the Ministers. Hawana nguvu hizo kufikisha jambo hili hapo lilipofikia. Jana kama nilimsikia vyema Mh Waziri wa viwanda katika tamko la Serikali alisema meli zimeanza kushusha mafuta na kisha Waziri Mkuu akaja na hilo tamko kali. Hapa unaweza elewa kuwa TRA hawakuwa na issue kwa sababu wao wanategemea technical input kutoka kwenye Taasisi tajwa.
Mkuu hata Waziri Mkuu hakwepi lawama hapa.
Anakuja juu wakati mambo tayari yanaenda mrama.
Tukumbuke Waziri Mkuu ndio kiranja wa mawaziri wote.
 
Why serikali inakuwa na TBS & TFDA? Hizi zingekuwa taasisi moja tu.. Hapa serikali inapoteza fedha nyingi kwa kuwa na taasisi mbili zinazofanya kazi ile ile.. Fumua hizi taasisi unda moja tu..ASAP

Nakubali TRA, TBS & TFDA ni taasisi ambazo ni kikwazo sana ktk ukuaji wa viwanda, hasa TRA & TFDA, viwanda hawiwezi kujengwa au kukua vilivyopo kwa vikwazo vya hizi taasisi.. Mh. Rais wetu do something ASAP, wakuu wa hizo taasisi hawajui kabisa ww unataka Tanzania ya aina gani... Fukuza hao haraka sana
Great, sioni hata ya hawa wawili kuwa different entity. Kazi zao ni zile zile. Basi tu kuongeza mlolongo
 
Bidhaa muhimu za Jamii..Sukari, mafuta ya kula, gesi ya kupikia na mafuta taa


Serikali inaona ndio njia nafuu ya kukusanya kodi nyingi na kusahau madini na gesi


hii nchi haina rasili mali za kusaidia watanzania? gesi, madini


Makinikia ikala kifo cha mende


10% mikataba CCM wakala cha juu na kuuza nchi, sasa hivi CCM inakamua wananchi kupitia bidhaa muhimu


Hii kodi kwenye sukari ni zaidi ya ufisadi ugaidi na upumbavu
 
Dr Mpango anaandaliwa taratiiibu MLANGO WA KUTOKEA,mkumbuke pia yeye (Mpango) siyo wakwetu.
Huyu jamaa nasikia u Tanzania wake imekaa kushoto ingawa ana vinasaba kidgo na JIWE lakini ngoja tuone kitakachotokea mbele ya safari
 
Bidhaa muhimu za Jamii..Sukari, mafuta ya kula, gesi ya kupikia na mafuta taa


Serikali inaona ndio njia nafuu ya kukusanya kodi nyingi na kusahau madini na gesi


hii nchi haina rasili mali za kusaidia watanzania? gesi, madini


Makinikia ikala kifo cha mende


10% mikataba CCM wakala cha juu na kuuza nchi, sasa hivi CCM inakamua wananchi kupitia bidhaa muhimu


Hii kodi kwenye sukari ni zaidi ya ufisadi ugaidi na upumbavu
Ukitaja Makinikia unamuudhi JIWE na si ajabu ukatafutwa kwa kutoa Lugha ya maudhi kwa Mtukufu Malaika Mkuu maana hata yule mwakilishi wa Acacia hakumuelewa alichozungumza
 
Why serikali inakuwa na TBS & TFDA? Hizi zingekuwa taasisi moja tu.. Hapa serikali inapoteza fedha nyingi kwa kuwa na taasisi mbili zinazofanya kazi ile ile.. Fumua hizi taasisi unda moja tu..ASAP

Nakubali TRA, TBS & TFDA ni taasisi ambazo ni kikwazo sana ktk ukuaji wa viwanda, hasa TRA & TFDA, viwanda hawiwezi kujengwa au kukua vilivyopo kwa vikwazo vya hizi taasisi.. Mh. Rais wetu do something ASAP, wakuu wa hizo taasisi hawajui kabisa ww unataka Tanzania ya aina gani... Fukuza hao haraka sana
Wana majukumu tofauti, na kila mmoja alianzishwa kwa sheria tafauti. Ukiwa nje unaweza dhani wanafanya kazi moja. Hata ukienda nchi nyingine za EAC kuna taasisi zao zinazofanana na TFDA mfano, DPML Burundi, NDA Uganda, PPB Kenya n.k . Lakini pia wana taasisi tofauti zinazofanan na TBS kama UBS kwa uganda na KEBS kwa Kenya.
Hivyo TBS na TFDA hazipo kwa bahati mbaya, labda chakufanya ni kuondoa maswala ya vyakula TFDA wabakie na madawa na majukumu hayo yahamishiwe maabara ya chakula iliyopo TBS.
 
Hili bifu linashangaza.

Lakini inaelekea kiini ni pale Waziri wa Viwanda na Biashara kulalamika hivi karibuni kuwa Utendaji wa TRA unaathiri ukuaji wa maendeleo ya viwanda na Biashara.

Hata Rais Magufuli yuko on record kule Dodoma akionyesha kutoridhishwa na utendaji wa TRA na unavyoathiri viwanda na biashara.

Jana, Mh. Spika Ndugai ameonyesha kukerwa kwake na hili bifu kati ta TRA(Mango) ma viwanda vya mafuta(Mwijage) na jinsi mwananchi wa kawaida atakavyoumia.

Mtu wa kawaida anajiuliza, hivi Serikali inaanza kumeguka vipande vipande? Kila waziri aking'ang'ania sekta yake?
Achaneni na watu hao. Kwa viwango vya uaminifu, namkubali Mpango kuliko hao wengine wote!

Bunge ni usanii tu. Mtu akipewa bahasha anaongea utadhani yeye ndo maabara. Waagizani ni wadanganyifu kwa asilimia zote! Wanapeana rushwa na maabara zote unazozifahamu lakini ukitaka kujua ukweli waulize walioko viwandani. Tunauziwa mafuta kama yalivyoagizwa bila refinement yoyote! Ni uhuni tuuu!

Kwa hilo TRA Komaeni tu, mpaka walipe kodi.
 
Hili bifu linashangaza.

Lakini inaelekea kiini ni pale Waziri wa Viwanda na Biashara kulalamika hivi karibuni kuwa Utendaji wa TRA unaathiri ukuaji wa maendeleo ya viwanda na Biashara.

Hata Rais Magufuli yuko on record kule Dodoma akionyesha kutoridhishwa na utendaji wa TRA na unavyoathiri viwanda na biashara.

Jana, Mh. Spika Ndugai ameonyesha kukerwa kwake na hili bifu kati ta TRA(Mango) ma viwanda vya mafuta(Mwijage) na jinsi mwananchi wa kawaida atakavyoumia.

Mtu wa kawaida anajiuliza, hivi Serikali inaanza kumeguka vipande vipande? Kila waziri aking'ang'ania sekta yake?
Nikufail tu kwa serikali ya CCM.

Huko TRA mmemkamua n'gombe maziwa yameisha sasa mnakamua damu alafu mnampa TRA lawama.

Lazima myumbe kwasababu hamna instrument, ni one man show.

Hakuna beef hapo.
 
TRA imeota mapembe. Very soon watafungua maabara yao nao waanze kwenda sambamba na Mkemia Mkuu wa Serikali. Nasikia siku hizi wana "police department" yao na wanaarrest kama kawaida mkizinguana kwenye masuala ya kodi😀
TRA amepagawa kwasababu amewekewa target kubwa ya makusanyo.
 
Back
Top Bottom