Sakata la Mafuta: Ni bifu la Dr. Mpango na Mwijage?

Sakata la Mafuta: Ni bifu la Dr. Mpango na Mwijage?

Hili bifu linashangaza.

Lakini inaelekea kiini ni pale Waziri wa Viwanda na Biashara kulalamika hivi karibuni kuwa Utendaji wa TRA unaathiri ukuaji wa maendeleo ya viwanda na Biashara.

Hata Rais Magufuli yuko on record kule Dodoma akionyesha kutoridhishwa na utendaji wa TRA na unavyoathiri viwanda na biashara.

Jana, Mh. Spika Ndugai ameonyesha kukerwa kwake na hili bifu kati ta TRA(Mango) ma viwanda vya mafuta(Mwijage) na jinsi mwananchi wa kawaida atakavyoumia.

Mtu wa kawaida anajiuliza, hivi Serikali inaanza kumeguka vipande vipande? Kila waziri aking'ang'ania sekta yake?
You are wrong. It is the person behind them all! TRA inatumika kwa yasiyostahili
 
Why serikali inakuwa na TBS & TFDA? Hizi zingekuwa taasisi moja tu.. Hapa serikali inapoteza fedha nyingi kwa kuwa na taasisi mbili zinazofanya kazi ile ile.. Fumua hizi taasisi unda moja tu..ASAP

Nakubali TRA, TBS & TFDA ni taasisi ambazo ni kikwazo sana ktk ukuaji wa viwanda, hasa TRA & TFDA, viwanda hawiwezi kujengwa au kukua vilivyopo kwa vikwazo vya hizi taasisi.. Mh. Rais wetu do something ASAP, wakuu wa hizo taasisi hawajui kabisa ww unataka Tanzania ya aina gani... Fukuza hao haraka sana
Kwamba hujui Majukumu ya kila Taasisi Kati ya TBS na TFDA? Dah! Kaazi kweli kweli! TFDA wanakagua vyakula na Dawa, hususani suala Zima la USALAMA wa vyakula na MADAWA! TBS wanaangalia viwango/Ubora, kwamba hiki Ni quality ya grade A,B, au C! TBS wanakagua Hadi magari,Ni kutokana na umuhimu uliopo katika vyakula na MADAWA kwa Binadamu, hatuwezi tukaweka suala Nyeti Kama hili kwenye fungu la jumla la ukaguzi wake! Kikubwa ni wao kufanya kazi kwa kushirikiana. TFDA anasema Mafuta yanafaa kwa matumizi ya Binadamu, TBS anasema haya Ni Mafuta ghafi au Refined oil, na TRA nae akate Kodi Yake!
 
Hao watakujibu Lishe ni DIET na chakula ni FOOD ndio akili zao hizo zilivyo.
Hahahahaha. Umenichekesha sana. Kwa hiyo kuna mkurugenzi wa diet nchi hii. Sasa mbona vutambi vimezidi mjini hapa mpaka kwa viongozi. Huyu mkurugenzi ni wa kufukuzwa kazi maana unaweza kuta naye anabonge la lifrige.
 
  • Sasa hivi kama kuna mnyonge huku jf ajitokeze aseme kama anaweza nunua sukari na mafuta kwa bei ya sasa.
 
You are wrong. It is the person behind them all! TRA inatumika kwa yasiyostahili
I stand to be corrected, lakini sielewi logic ya TRA kuamua kuwa nafuta ni ya kiwango fulani bila kupata input kutoka vyombo halali vya viwango ,yaani TBS NA TFDA.
Na hapo ndo naona kuna hilo bifu kati ya wakubwa.
 
Hili bifu linashangaza.

Lakini inaelekea kiini ni pale Waziri wa Viwanda na Biashara kulalamika hivi karibuni kuwa Utendaji wa TRA unaathiri ukuaji wa maendeleo ya viwanda na Biashara.

Hata Rais Magufuli yuko on record kule Dodoma akionyesha kutoridhishwa na utendaji wa TRA na unavyoathiri viwanda na biashara.

Jana, Mh. Spika Ndugai ameonyesha kukerwa kwake na hili bifu kati ta TRA(Mango) ma viwanda vya mafuta(Mwijage) na jinsi mwananchi wa kawaida atakavyoumia.

Mtu wa kawaida anajiuliza, hivi Serikali inaanza kumeguka vipande vipande? Kila waziri aking'ang'ania sekta yake?

MNARA WA BABELI
 
Kila mmoja anatetea tumbo lake hapo, hawana maana
 
Kwamba hujui Majukumu ya kila Taasisi Kati ya TBS na TFDA? Dah! Kaazi kweli kweli! TFDA wanakagua vyakula na Dawa, hususani suala Zima la USALAMA wa vyakula na MADAWA! TBS wanaangalia viwango/Ubora, kwamba hiki Ni quality ya grade A,B, au C! TBS wanakagua Hadi magari,Ni kutokana na umuhimu uliopo katika vyakula na MADAWA kwa Binadamu, hatuwezi tukaweka suala Nyeti Kama hili kwenye fungu la jumla la ukaguzi wake! Kikubwa ni wao kufanya kazi kwa kushirikiana. TFDA anasema Mafuta yanafaa kwa matumizi ya Binadamu, TBS anasema haya Ni Mafuta ghafi au Refined oil, na TRA nae akate Kodi Yake!

You can not tell me anything najua zaidi ya ukoo wenu wote... Hizi taasisi mbili TFDA & TBS inatakiwa ziwe moja.. Nyumbu wee..!! They do kazi ile ile, kazi ku kariri tu mambo.. TFDA & TBS must be merged to form one authority... Period !!
 
I stand to be corrected, lakini sielewi logic ya TRA kuamua kuwa nafuta ni ya kiwango fulani bila kupata input kutoka vyombo halali vya viwango ,yaani TBS NA TFDA.
Na hapo ndo nsona kuna hilo bifu kati ya wakubwa.
That is why I say it is an issue above the Ministers. Hawana nguvu hizo kufikisha jambo hili hapo lilipofikia. Jana kama nilimsikia vyema Mh Waziri wa viwanda katika tamko la Serikali alisema meli zimeanza kushusha mafuta na kisha Waziri Mkuu akaja na hilo tamko kali. Hapa unaweza elewa kuwa TRA hawakuwa na issue kwa sababu wao wanategemea technical input kutoka kwenye Taasisi tajwa.
 
You can not tell me anything najua zaidi ya ukoo wenu wote... Hizi taasisi mbili TFDA & TBS inatakiwa ziwe moja.. Nyumbu wee..!! They do kazi ile ile, kazi ku kariri tu mambo.. TFDA & TBS must be merged to form one authority... Period !!
You are very wrong. Hizo Taasisi zina majukumu mawili tofauti. Sijui nchi yoyote duniani ambayo zimeunganishwa. I am sorry to say so.
 
That is why I say it is an issue above the Ministers. Hawana nguvu hizo kufikisha jambo hili hapo lilipofikia. Jana kama nilimsikia vyema Mh Waziri wa viwanda katika tamko la Serikali alisema meli zimeanza kushusha mafuta na kisha Waziri Mkuu akaja na hilo tamko kali. Hapa unaweza elewa kuwa TRA hawakuwa na issue kwa sababu wao wanategemea technical input kutoka kwenye Taasisi tajwa.
Yes, kizungumkuti kinakuja, KWA NINI TRA hawakupokea ushauri halali na ulio kisheria toka TBS na TFDA?
 
Sababu ya kufikirika tu ni kuwa kuna nguvu nyuma ya pazia haikutaka kuamini matokeo hayo ya Taasisi zetu na hivyo kuiagiza TRA wasiyakubali!
Kwa hiyo Dr Mpango na nduguye Kichere wa TRA ni maboya tu?
Sioni sababu za mtu tena msomi kupinga matokeo ya maabara zetu za TBS na TFDA.
 
TRA imeota mapembe. Very soon watafungua maabara yao nao waanze kwenda sambamba na Mkemia Mkuu wa Serikali. Nasikia siku hizi wana "police department" yao na wanaarrest kama kawaida mkiziungana kwenye masuala ya kodi😀
Halafu ndo wanatuambia tufungue maduka??!! Khaaaa!
 
Back
Top Bottom