Sakata la Mafuta: Ni bifu la Dr. Mpango na Mwijage?

Sakata la Mafuta: Ni bifu la Dr. Mpango na Mwijage?

Kwa hiyo Dr Mpango na nduguye Kichere wa TRA ni maboya tu?
Sioni sababu za mtu tena msomi kupinga matokeo ya maabara zetu za TBS na TFDA.
Sijui watu tunajifunza nini kama utendaji wa Serikali umefikia hapa! Hii ni hatari.

Ingekuwa busara TRA wangepokea matokea yalivyo na kama kuna mashaka uchunguzi wa kawaida ungefanyika
 
Sijui watu tunajifunza nini kama utendaji wa Serikali umefikia hapa! Hii ni hatari.

Ingekuwa busara TRA wangepokea matokea yalivyo na kama kuna mashaka uchunguzi wa kawaida ungefanyika
TRA kwa sasa hivi ni kichwa cha mwendawazimu!
Inaelekea wanatumika kwa malengo ambayo si ya kodi.
 
Kwamba hujui Majukumu ya kila Taasisi Kati ya TBS na TFDA? Dah! Kaazi kweli kweli! TFDA wanakagua vyakula na Dawa, hususani suala Zima la USALAMA wa vyakula na MADAWA! TBS wanaangalia viwango/Ubora, kwamba hiki Ni quality ya grade A,B, au C! TBS wanakagua Hadi magari,Ni kutokana na umuhimu uliopo katika vyakula na MADAWA kwa Binadamu, hatuwezi tukaweka suala Nyeti Kama hili kwenye fungu la jumla la ukaguzi wake! Kikubwa ni wao kufanya kazi kwa kushirikiana. TFDA anasema Mafuta yanafaa kwa matumizi ya Binadamu, TBS anasema haya Ni Mafuta ghafi au Refined oil, na TRA nae akate Kodi Yake!
Ndo tunataka liwe shirika moja la ukaguzi wa usalama/viwango na ubora vitu vyote ikiwemo madawa, vyakula, magari, cement nk kwani haiwezekani?
 
Back
Top Bottom