Unajauje kama hajamtembelea Lema gerezani,,,,,au mpaka aende na makamera?
tupe ushahidi kama ameenda...lema yuko gerezani yeye anajifanya anajenga chama...chama gani kijengwe na mwizi?
lowasa na mbowe ni watu waliorudisha juhudi za upinzani nyuma sana
jujuzi tu hapa alikua Mbeya alikotanga kuwa uchaguzi ndani ya Chadema utakuwa wa ndio au hapana kwa mgombea mmoja. Kisa eti kwa maelekezo ya chama hawataki makundi. Usanii wa domo-crasia.Anaeweza kunisaidia,, ni kwaninni Mbunge wetu machachari kipenzi cha vijana JOHN MNYIKA ni kama hayupo kabisa nchini..?????
Kuna tatizo huko CHADEMA sio siri.
Yule ni mtoto wa Dr Slaa kuna kipindi kulikuwa na tetesi kuwa Mnyika atafanya maamuzi magumu ni suala la muda jamaa atakimbia nae, Lowasa ni kama agent tu wa ccm kuuwa upinzaniAnaeweza kunisaidia,, ni kwaninni Mbunge wetu machachari kipenzi cha vijana JOHN MNYIKA ni kama hayupo kabisa nchini..?????
Kuna tatizo huko CHADEMA sio siri.
Kumbe Salum Mwalim yupo!!!!!?.Najua mleta mada humpendi Lowassa lakini hili la kutomtembelea Lema yeye na viongozi wengine wa CHADEMA wakiwamo na wabunge wa chama kwakweli ni kosa kubwa sana kwao.
Inasikitisha kuona ni Zitto,Sheikh Ponda, Salum Mwalimu na watu wengine wachache ndio wameenda kumjulia hali Lema huko gerezani Kisongo.
Eleweni Leo ni Lema kesho ni nyinyi unless mtakaa kimya mpaka 2020.
Niwatahadhirishe tu siku mkilalamika Lema kuwekwa ndani, CCM watawabeza/watawahoji kama mna uchungu na Lema mbona hata gerezani hamkwenda kumtembelea?
Watu kama kina Kibajaji hawawezi kushindwa kusema maneno haya ndani ya Bunge iwapo swala hili mtaliongelea Bungeni na hata kwenye majukwaa ya kisiasa.
Kwa hili lazima watatubeza tu.
Kwahiyo wanavumiliana kinafiki? .Lowassa na Lema hawajawahi kuwa maswahiba tangu ule uchaguzi wa Arumeru wa "ni heshima kubwa kwa Mungu kumzomea...".
Hata kampeni za 2015 zilipita kwa shida sana kati ya hawa mabwana mawili.
Tangu hapo sijawahi sikia wakipena maneno yeyote ya furaha...
Kuna "tetesi" eti, Mnyika alilishwa vitu fulani fulani hivi na sasa amekuwa kama "zezeta" hivi. Inasemekana eti, baada ya kulishwa hivyo vitu, uwezo wake wa kufikiri na kujenga hoja umekwisha kabisa. Sasa hivi yupo tu kama mwili, "akili" zimevurugwa.Anaeweza kunisaidia,, ni kwaninni Mbunge wetu machachari kipenzi cha vijana JOHN MNYIKA ni kama hayupo kabisa nchini..?????
Kuna tatizo huko CHADEMA sio siri.
Hata kupotea kwa "saa 8" sijamsikia Lowassa akisema kitu chochote.Haiwezekani Lema yupo gerezani miezi miwili sasa hajaenda hata kumjulia hali hata Mara moja!! Wakati ni majirani Monduli na Arusha mjini.
Yupo yupo tu kimya Lema anakamatwa kimya, Mwalimu alikamatwa kimya,Lissu akikamatwa kimya.
Na siku akikamatwa yeye kwa ufisadi sisi tutakaa kimya.
Chadema ni Lema na Lema ndio nembo halisi ya Chadema.
Lema ndiye anawakilisha mawazo halisi ya wapinzani wa kweli nchi hii.
Lema hajawai kutuhumiwa kwa wizi na ufisadi kama alivyo Lowassa.
Lema hajawai kunyamaza kuhusu ukandamizaji wa haki maana haujaanza Leo .
Lakini Lowassa eti ameanza kuwatetea wananchi baada ya kuhamia Chadema.
mtu hana hata mvuto tena kama walivyo wakina Cheyo na wenzie .
Mtu ambaye kafanikisha kuwaziba midomo wakina Msigwa na Mnyika wanapotea kisiasa.
Hivi Lowassa huyu huyu aliyekataa katiba mpya ya Warioba ambayo matokeo yake tunaendelea kutumia katiba ya 1977 inasababisha Lema aendelee kusota gerezani maana baada ya kupata katiba mpya tungerekebisha sheria zote mbovu.
Alafu kuna watu wanamsapoti eti awe Rais wa nchi serious?...
Pombe simpendi lakini kama ni Lowassa hapana.
Lowassa ni mbinafsi hawezi kuwa rais wa Tanzania tena.
Lowassa hawezi na hatoweza kuleta mabadiliko ya kweli ya kuwatetea watanzania maana alishawasaliti huko nyuma .
umesahau aliyo sema lema mkuuHaiwezekani Lema yupo gerezani miezi miwili sasa hajaenda hata kumjulia hali hata Mara moja!! Wakati ni majirani Monduli na Arusha mjini.
Yupo yupo tu kimya Lema anakamatwa kimya, Mwalimu alikamatwa kimya,Lissu akikamatwa kimya.
Na siku akikamatwa yeye kwa ufisadi sisi tutakaa kimya.
Chadema ni Lema na Lema ndio nembo halisi ya Chadema.
Lema ndiye anawakilisha mawazo halisi ya wapinzani wa kweli nchi hii.
Lema hajawai kutuhumiwa kwa wizi na ufisadi kama alivyo Lowassa.
Lema hajawai kunyamaza kuhusu ukandamizaji wa haki maana haujaanza Leo .
Lakini Lowassa eti ameanza kuwatetea wananchi baada ya kuhamia Chadema.
mtu hana hata mvuto tena kama walivyo wakina Cheyo na wenzie .
Mtu ambaye kafanikisha kuwaziba midomo wakina Msigwa na Mnyika wanapotea kisiasa.
Hivi Lowassa huyu huyu aliyekataa katiba mpya ya Warioba ambayo matokeo yake tunaendelea kutumia katiba ya 1977 inasababisha Lema aendelee kusota gerezani maana baada ya kupata katiba mpya tungerekebisha sheria zote mbovu.
Alafu kuna watu wanamsapoti eti awe Rais wa nchi serious?...
Pombe simpendi lakini kama ni Lowassa hapana.
Lowassa ni mbinafsi hawezi kuwa rais wa Tanzania tena.
Lowassa hawezi na hatoweza kuleta mabadiliko ya kweli ya kuwatetea watanzania maana alishawasaliti huko nyuma .
Huna hoja jalbu kufkilia kabla yakuandkaNajua mleta mada humpendi Lowassa lakini hili la kutomtembelea Lema yeye na viongozi wengine wa CHADEMA wakiwamo na wabunge wa chama kwakweli ni kosa kubwa sana kwao.
Inasikitisha kuona ni Zitto,Sheikh Ponda, Salum Mwalimu na watu wengine wachache ndio wameenda kumjulia hali Lema huko gerezani Kisongo.
Eleweni Leo ni Lema kesho ni nyinyi unless mtakaa kimya mpaka 2020.
Niwatahadhirishe tu siku mkilalamika Lema kuwekwa ndani, CCM watawabeza/watawahoji kama mna uchungu na Lema mbona hata gerezani hamkwenda kumtembelea?
Watu kama kina Kibajaji hawawezi kushindwa kusema maneno haya ndani ya Bunge iwapo swala hili mtaliongelea Bungeni na hata kwenye majukwaa ya kisiasa.
Kwa hili lazima watatubeza tu.
zto mlimuita mnafkilowasa na mbowe wake ni watu wasiotufaa
chama kimesinyaaa isivyo kawaida