Sakata la Lema: Lowassa ana Gundu na ni mbinafsi!

Techinically na Freeland acheni porojo zenu na siasa za kujaribu kuonyesha kuwa CHADEMA ilhali ukweli ni kinyume chake.
Number never lies yaani namba huwa hazisemi uongo. Tuangalie kidogo matokeo ya Uchaguzi Mkuu mwaka jana(2015).
na 2010 tu ili tuone CHADEMA ilipo kwa sasa:

Edward Ngoyayi Lowassa..................6,000,000+ (39.97%).
John Joseph Pombe...........................8,000,000+ (58.46%).

Matokeo ya mwaka 2010:
Wilbroad Peter Slaa...........................2,700,000+(21.0%)
Jakaya Mrisho Kikwete.......................5,200,000+(61.0%)


Sasa ukiangalia Takwimu hizi ni dhahiri kabisa kuwa CCM wanazidi kuporomoka na CHADEMA inapanda. Kwa namba hizi Uchaguzi wa mwaka 2020 utakuwa ni mgumu sana kwa CCM. Namba hazidanganyi bhana.
Sawa, numbers dont lie kama akili yako inauwezo wa kuzi interprate hizo numbers properly.

Mwaka 2010 jumla ya kura za upinzani (Chadema+Others) zilikuwa 39% na kumwachia Ccm 61%. Mwaka huo chadema ilipata 21% hivyo vyama vingine vya upinzani vilipata 18%.

Mwaka 2015 jumla ya kura za upinzani zilikuwa (Chadema + others, kwa jina la ukawa) zilikuwa 40% na kumwachia Ccm 60%. Hizo 40% za upinzani zilikuwa dumped kwa Lowasa wa chadema. Hazikuwa za chadema pekee yake. Zilikuwa za upinzani wote. Hivyo utaona hakuna tofauti yo yote ya maana (no significant statistical diference, p = 1) ukilinganisha na za mwaka 2010. Hivyo we can assume that in 2015 kura za chadema zilikuwa 22% na zile za wapinzani wengine 18%.

That is the way to interprate numbers my dear friend. Dont just jump to conclusions. Ndiyo maana wengi walikimbia Hisabati na kwenda sanaa. Kama hali itaendelea hivi matokeo ya 2020 at best yatakuwa vile vile na kuna uwezekano mkubwa kura za upinzani zitaporomoka zaidi kama JPM ataendelea na hii kasi yake ya kupambana na mafisadi.
 
Haya matamko ya eti ANATAMANI MALAIKA WASHUKE TOKA MBINGUNI ILI WAIFUNGE MITANDAO YA KIJAMII NA BAADA YA MIAKA 5 WAIFUNGUE ILI WATU WAONE MAENDELEO YALIYOFIKIA NA SERIKALI YA MAGUFULI

hichi kipande kimenifanya nicheke sana na kimenitia simanzi sana
mkulu wetu hajiamini hata kidogo, kauli km hizi zinathibitisha kutojiamini kwake,
hivi km alichaguliwa kwa kishindo anachoogopa nini?
 
Kujua jambo lililojificha kunahitaji hekima ambayo ni vigumu kwa watu wenye mtazamo na fikra za kawaida kulitambua. Kinachofanywa na Viongozi wa CHADEMA kwa mtazamo wa ndani wapo sahihi kabisa. Huu mtego umekwepwa kirahisi sana na Viongozi wa CHADEMA akiwemo Lowasa...
Wenye hekima hatuna tatizo na hilo la wao kutofika gerezani.
Jitihada sahihi ni hizi za Chama kuweka wanasheria makini kuishughulikia hii kesi, kama kweli ipo.
CCM yangu inapaswa kuwa makini na maamuzi yanayopangwa na kufanywa kwa imani kuwa yanawakomoa wapinzani wetu... Ukweli ni kwamba leo chuki iliyojengwa Arusha dhidi ya CCM kupitia sakata la Lema ikiwekwa wazi, itakuwa aibu kubwa kwa Chama.
Hatuwezi kuikomboa Arusha kwa kumtesa Mbunge wao.
Hatuwezi kushinda kesi Mahakamani kwa mtu kusimulia ndoto yake.
Ukweli ni kwamba tumemwongezea Lema kura za huruma.
Tujisahihishe.
Usijidanganye, viongozi wamempuuza Lema kwa kutafuta KESI za kitoto kama hiyo. Haina profit kwa chama.
 
Duh! Walimu wa hesabu sijui ndo hisabati na mahesabu yao wanatabu sana, ndo mana mi nilikimbia somo mapema, au nawe kama mm tulikimbia? Embu tujaribu kidogo hapa, Slaa 2010=21% cdm, Lowasa 2015=40% Ukawa, Je Slaa angepata ngapi 2015 cdm? Je pia angepata ngapi angekuwa kwa Ukawa 2015? 40% ya Lowasa Ukawa, kwa cdm tu ni ngapi? Lowasa hakuwa cdm 2016 mkuu.
Huyo jamaa nadhani cheti chake kina F zote na hesabu zake. Kama hajui UKAWA ulikuwepo au la. Kakomaa na cdm
 
Lema ameachwa ili ajue anayoyafanya yanawakera hadi wenzake. Mtu gani asiye na staha?
Cha ajabu wafuasi wake mnamshangilia kwa kila afanyalo, alimpiga Mwigamba ndani ya kikao halali cha chama tena mbele ya Mbowe mkashangilia, sasa acheni na yeye atiwe adabu.
Comments za ulipo tupo utazijua tu.
 
Sawa, numbers dont lie kama akili yako inauwezo wa kuzi interprate hizo numbers properly.

Mwaka 2010 jumla ya kura za upinzani (Chadema+Others) zilikuwa 39% na kumwachia Ccm 61%. Mwaka huo chadema ilipata 21% hivyo vyama vingine vya upinzani vilipata 18%.

Mwaka 2015 jumla ya kura za upinzani zilikuwa (Chadema + others, kwa jina la ukawa) zilikuwa 40% na kumwachia Ccm 60%. Hizo 40% za upinzani zilikuwa dumped kwa Lowasa wa chadema. Hazikuwa za chadema pekee yake. Zilikuwa za upinzani wote. Hivyo utaona hakuna tofauti yo yote ya maana (no significant statistical diference, p = 1) ukilinganisha na za mwaka 2010. Hivyo we can assume that in 2015 kura za chadema zilikuwa 22% na zile za wapinzani wengine 18%.

That is the way to interprate numbers my dear friend. Dont just jump to conclusions. Ndiyo maana wengi walikimbia Hisabati na kwenda sanaa. Kama hali itaendelea hivi matokeo ya 2020 at best yatakuwa vile vile na kuna uwezekano mkubwa kura za upinzani zitaporomoka zaidi kama JPM ataendelea na hii kasi yake ya kupambana na mafisadi.
Kura za upinzani zilipungua sababu walikuwa wanashambuliana hasa CUF Vs Chadema huku Zitto akiwa ameshaanza kutibuka huku akiwa na nguvu ndani ya chama. Baada ya 2010 ndipo chadema kilipoanza kujikita vijijini na kuandaa chama kushika dola 2015. Kama Lipumba angemuunga mkono Dr Slaa na mwamko uliokuwepo ....CCM wasingehimili ...ile 39% ya 2010 upinzani ukipingana ingekuwa 50% plus chini ya UKAWA ....Lowasa kakuta watu walishaandaliwa kuiangusha CCM ndio maana hakwenda ACT wala chama kingine zaidi ya Chadema.
 
Huyo jamaa nadhani cheti chake kina F zote na hesabu zake. Kama hajui UKAWA ulikuwepo au la. Kakomaa na cdm
Kwahyo ameshasahau kwamba Lipumba hakugombea 2015 na kura zake zikaelekezwa kwa Ukawa? Sijui 2020 Ukawa still utakuwepo. Usipolijua tatizo suluhisho hautolipata, binafsi naamini 2015 angegombea hata kama asingeshinda angepata zaidi ya 45% tena si kwa mbinde ile. Hawa jamaa sijui wakoje, huwa wanapiga mahesabu yao kwa kuangalia wanachama wao na wafuasi kwenye mikutano tu, hawajui watz wengi hata si wafuasi wala wanachama wa chama chochote, tena wengi hata kupiga kura hadi wapate sababu za msingi sana. Kosa kubwa zaid walifanyalo na kulirudiarudia ni kuamini kuna rafu huwa wanachezewa, wanaacha yaliyo ya msingi.
 
As nonsense as usual
Hivi kutomtembelea ndio anakuwa na "gundu na mbinafsi"? Unataka Lowassa aishi kwa remote yako.....?
Mkuu kuwa na nidham, alaf siasa za keyboard uzifanye kistaarabu.... Kujitoa ufaham kumewaumiza wengi, if at all politics is your career....
mbona kaongea tu vizuri amna hata baya alilozungumza
 
Wapo wakereketwa wanajitahid ili Lema asisahauliwe kule mahabusu\gerezani.
Kosa lile la utabiri,kumtabiria kifo rais lilihitaji yule mtu kumpeleka kituoni, kumhoji na labda kumpima na breathlizer (alcohol content in the breath)
halafu kumuachia huru.
Nilitumainia kwamba siku ya Uhuru ataachiwa huru bila masharti. Lakibi itakea complications. Mahakama ikaonekana kwamba ina hamu sana ashikiliwe.
Sasa hivi watu wanamwita Mandela, wanamwita shujaa, kwa stance ya mahakama inakuwa solidified, wanakuwa more determined kumshikilia.
Halafu inawakashifu Mbowe na Lowassa Kwa hiyo, hamu yao ya kusaidia inapungua.
 
SIASA WANAYOFANYA MBOWE NA LOWASSA SIYO SIASA YA KUITOA CCM MADARAKANI, NI SIASA YA KUIONYESHA DUNIA KUWA TZ INA VYAMA VYA UPINZANI.
Umefikiri vyema sana mkuu, hata wenyewe ni kama wanalijua hilo na wanafanya makusudi tu. Mwenyekiti wa chama kikuu cha siasa, ktk nchi kama Tanzania, asingeweka efforts zake kubwa za kisiasa ktk mitandao, mikutano isiyo na tija huku mitaji wanayo. Ningekuwa ni mm, ningeanzisha viwanda na masoko ya bidhaa za wapiga kura wangu, nje ya nchi, wanufaike kwa bei kubwa, kwa chama kafaida kadogo tu. Hili lingesaidia kusadifu uhalisia wa yale wanayoyahubiri. Wao wanapiga tu porojo na kuluka na machopa, watu watachoka kusikia na watahitaji kuona....
 
Kura za upinzani zilipungua sababu walikuwa wanashambuliana hasa CUF Vs Chadema huku Zitto akiwa ameshaanza kutibuka huku akiwa na nguvu ndani ya chama. Baada ya 2010 ndipo chadema kilipoanza kujikita vijijini na kuandaa chama kushika dola 2015. Kama Lipumba angemuunga mkono Dr Slaa na mwamko uliokuwepo ....CCM wasingehimili ...ile 39% ya 2010 upinzani ukipingana ingekuwa 50% plus chini ya UKAWA ....Lowasa kakuta watu walishaandaliwa kuiangusha CCM ndio maana hakwenda ACT wala chama kingine zaidi ya Chadema.
Kwa yeyote mwenye akili lazima awaze ulivyowaza, mimi, mdogo, sista na bimkubwa tulimpigia Slaa 2010, uliopita zote zikawa kinyume chake na ninawajua wengi sana. Haikuwa raisi kwa mtu aliyeaminishwa kwa miaka kadhaa kwamba kifo cha ndugu yake hospital kilisababishwa na ufisadi na fisadi mkuu ni....... hata asingekuwa fisadi kuitoa ile imani si kazi ya mwaka mmoja. CDM inaweza ikarudi kwenye mstari tena, njia pekee ni kwenda kumlamba miguu Dr. Slaa, kuuvunja uongozi wa juu wote, na kuweka watu watakaowezesha kukisafisha chama ktk yale yasemwayo, mfn ukaskazini, na mengneyo. Mwy. Songea, katbu Mwanza, wengne Mbeya, Mtwara kama kilivyo ccm, si wote wabase ukanda mmoja tu, tena kuzawazisha mambo wa ukanda huo abaki Slaa tu, huu ni mfano tu. Pia waache porojo za mdomoni, waanzishe vitengo, uchumi wa jamii na chama, siasa, michezo, nk we watu wanataka nchi utadhani wanataka kuoa mke tu tena uzaramoni bana.
 
toka lini tovudi ya chadema ikawa ndio ushahidi wa ufisadi wa Lowasa? km walisema ushahidi wa nao nini kinazuia hata sasa Lowasa kupelekwa kotini? Lowassa alijiuzulu kwa kuipenda nchi yake ndio sababu aliamua kuchukua hatua ya kijasiri kujiuzulu
Maswali hayo waulize CDM watakujibu!!
 
Nilitegemea kipindi hiki cha sikukuu wabunge na viongozi wa chadema wangeenda kwa wingi kumtembelea Lema kule alipo lakini wapi ndo kwanza wakina msigwa wanawaza vyeo vya kupewa pewa,.Lowasa yupo zake handeni anakula bata,Mnyika ndo ameshajichokea na chadema hana habari nayo,.Katibu mkuu sijui yupo wapi,....Afadhali Salumu mwalimu ndiye anaonekana onekana ..Pole sana Lema sahizi ukitoka fanya yako kama una miradi yako ni bora uwe bize na miradi yako na familia

umeongea kweli tupu
 
Back
Top Bottom