Sakata la kuuawa kwa Faru John lachukua sura mpya. Watumishi watano watiwa mbaroni

Huyu Faru John kuna siri kubwa sana kwenye sakata hilo tusubiri taarifa za uchunguzi.
Pia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatakiwa kuanza kufutilia wale Twiga wetu walipandishwe ndege kupelekwa nje ya nchi bila taratibu
 
Huyo mzungu raia wa Marekani ni mjanja ameanzisha makampuni tanzu yenye lengo moja
1. Grumeti safari
2. Grumeti reserve
3. Grumeti Sangita
4.Grumeti fund
5. Grumeti ViP
Mwenye uelewa na hayo amwagike hapa haraka wakuu
 
Huyo mzungu raia wa Marekani ni mjanja ameanzisha makampuni tanzu yenye lengo moja
1. Grumeti safari
2. Grumeti reserve
3. Grumeti Sangita
4.Grumeti fund
5. Grumeti ViP
Mwenye uelewa na hayo amwagike hapa haraka wakuu
Ni nani huyu? Hebu mtajeni, Aliwa kugombea Urais?
Watu hao wasingeweza kufanya jambo/tukio hilo sensitive pasipo maelekezo kutoka juu....Waziri wa wakati huo na pia Katibu Mkuu wa wakati huo na hata wakurugenzi wa idara husika wizarani lazima wanafahamu sakata Zima...Nchi hii ifike mahala tuheshimiane na kunyooka...haiwezekani washikwe watu wa chini tu....hao wengine nao wakamatwe na wahojiwe...justice doesn't 'look' into faces....justice should be seen by all to be fair... Key words here: justice, fair, all
 
Huyo mzungu raia wa Marekani ni mjanja ameanzisha makampuni tanzu yenye lengo moja
1. Grumeti safari
2. Grumeti reserve
3. Grumeti Sangita
4.Grumeti fund
5. Grumeti ViP
Mwenye uelewa na hayo amwagike hapa haraka wakuu[/QUOTE/]
Paul Tudor Jones
 
yule aliyehojiwa na waziri mkuu alitaka kufafanua akakatishwa,huu mziki unaanzia makao makuu ya wizara,japo inasemwa taratibu zilifatwa,tena zote,sasa ukianza kuhoji wanyama wanavyokufa porini,kuna mtu huwa anakesha nao huko vichakani
Tatizo kubwa hapo ni ahadi ya mil. 200. Huwezi kutoa jibu la kitaalamu kueleza ahadi kama hiyo. Tunajikanyaga tu bila kukumbuka kwamba aliyesema ni PM, mtu mwenye access na vyombo na taarifa zote za usalama wa nchi.

Watu wasubilie kizaa zaa au huruma tu. Hizi siyo enzi za umwamba wa pesa. Sasa hivi Paka anamkimbia panya!
 
Ni raia wenye asili ya kizungu wakishirikiana na mstaafu mmoja ambae ameahidiwa ulinzi na mrithi wake, kila mwisho wa mwaka mstaafu huyo hupenda kwenda kupumzika huko akiwa na familia yake.
Hapo sasa'
Tumeanza na mizigo ya kulipiwa kodi na sasa Bw John wa msituni. Kuna jambo lipo online.
cc; MANI
 
Hapo sasa'
Tumeanza na mizigo ya kulipiwa kodi na sasa Bw John wa msituni. Kuna jambo lipo online.
cc; MANI
Lakini hii inaweza kuwa movie tu baada ya PM kuligusia tu akasitisha ziara ya mkoa wa Arusha gafla kwa nini hakumaliza ziara yake, nimehisi kuna mengi angeyafukua na kufanya wastaafu waumbuke washindwe kupumzika, inawezekana PM aliitwa gafla akaonywa tusubiri kama kutakuwa na muendelezo wa Marehemu John.
 
Huyo mzungu raia wa Marekani ni mjanja ameanzisha makampuni tanzu yenye lengo moja
1. Grumeti safari
2. Grumeti reserve
3. Grumeti Sangita
4.Grumeti fund
5. Grumeti ViP
Mwenye uelewa na hayo amwagike hapa haraka wakuu
Huyu jamaa lakini hana Hoteli Serengeti pekee, Anazo Zimbabwe, na kama sikosei na Namibia, ila jamaa ni mbabe sana na anaogopwa mno, yeye mwenyewe kwanza anakuja mara moja moja sana ila pale kuna Makaburu nazani ndo wanaendesha
 
Hawa hawawezi kumpeleka faru bila kuelekezwa na uongozi wa hifadhi Na Wizara husika. Naamini wapo waliotelekeza jukumu hili kwa makusudi hao ndo wawajibishwe. Hawa ni kuwaonea kwanza hawana itifaki ya kuongea na tajiri anayemiliki grumeti game reserve.
Si vema kukimbilia kuhukumu. Waliokamatwa wanasaidia uchunguzi, wao ndio wa kutaja nani alitoa maelekezo
 
Watu hao wasingeweza kufanya jambo/tukio hilo sensitive pasipo maelekezo kutoka juu....

Waziri wa wakati huo na pia Katibu Mkuu wa wakati huo na hata wakurugenzi wa idara husika wizarani lazima wanafahamu sakata Zima...

Nchi hii ifike mahala tuheshimiane na kunyooka...haiwezekani washikwe watu wa chini tu....hao wengine nao wakamatwe na wahojiwe...justice doesn't 'look' into faces....justice should be seen by all to be fair...

Key words here: justice, fair, all
Maghembe akae pembeni kupisha uchunguzi.
 
how is it possible kifaru ambae anatambulika kwa jina kabisa anaondololewa kwenye crater anapelekwa sehem nyengine then taarifa haipo wizarani.
Ina maana wazir husika either wa awamu iliyopita na leo hawajaliona hilo swala mpka wazir mkuu aje kuona hapo kuna tatzo juu ya uhamishwaji wake.
Siamin sana hao watumish wa chin wana uwezo na nguvu kubwa kias hcho cha kufanya hayo maamuzi ya kumuhamisha / kufa kwa faru john then wayafanye bila boss wao asijue lolote.
IMPUNITY ndio jibu la kinacho endelea.
 
Watu hao wasingeweza kufanya jambo/tukio hilo sensitive pasipo maelekezo kutoka juu....

Waziri wa wakati huo na pia Katibu Mkuu wa wakati huo na hata wakurugenzi wa idara husika wizarani lazima wanafahamu sakata Zima...

Nchi hii ifike mahala tuheshimiane na kunyooka...haiwezekani washikwe watu wa chini tu....hao wengine nao wakamatwe na wahojiwe...justice doesn't 'look' into faces....justice should be seen by all to be fair...

Key words here: justice, fair, all
Wakati faru anachukuliwa hakukuwa waziri
 
Back
Top Bottom