Hahaaa tufukue tu inabidi tuweke nchi sawaQatar hahhahahah
Ayo makaburi akifukua hataweza kufukia
Thubutuuuuu hahahaha nchi imewekwa sawa au viraka vimezidi huyu Pogba tuHahaaa tufukue tu inabidi tuweke nchi sawa
Still hata kama kuna majike mengine 26 bado interbreeding ni tatizo, unatakiwa heri kuwa na balance au madume zaidi , ili thamani ya mbegu mpya sipungueMkuu faru john alikuwa dume so anaweza kutia mimba majike 26 kwa siku moja maana taarifa nlizo nazo alikuwa dungadunga, labda useme kuwa huko porini kuna faru jike mmoja tu ndio angetumia miaka hiyo kupata watoto 26
Dah!!! Ngumu kuyafunika ukishayafukua. Yanaweza kwenda na wewe.Hivi mmiliki wa Hotel ya Grumet ni nani?
Afadhalii !Mkuu hao vyura wamesharudisha bongo, wapo pale Chuo kikuu Mlimani CONAS,
Kunauwezekano ndio huyo aliempa habari kamili waziri kwa hasira ya kutemwaKwani tukiambiwa GRUMETI ni ya nani? na alipelekwa kwa sababu gani? na vikao vilivyoidhinisha kupelekwa vipo? na baada ya kifo taarifa zipo hapo hakuna tatizo lakini hapo kunaonekana kuna makandokando tunaomba wawajibishwe kuna mfanyakazi mmoja alifukuzwa kazi kipindi cha huyo faru anapotea wamfuatilie huyo jamaa anajua kila kitu
Ana jina linalofanana na mh jpm.Hivi huyo faru John anasifa zipi za ziada kushinda wenzake hapo Ngorongoro crater hadi kupotea kwake kulete sekeseke yote hii? Anayejua taarifa zake tafadhali anijuze.Ahsante.
Huyu nae achunguzwe leseni yakeDaah kuna jamaa amenong'ona anasema eneo la Ikorongo na Grumeti lipo nje ya Hifadhi. Mwanzo lilikua chini ya idara ya wanyamapori ndio hilihilo aliepewa huyo Bilionea Paul Tudor Jones wajuaji wekeni nyama hapa