Mkamap
Kwanza heading yako haijatulia kabisa imekaa kiushabiki na kama vile mtu anayefulahia mpasuko wa chadema.Kwa hali ya sasa wakati watu wengi wanaomba hilo lisitokee.
Mbowe, kufukuza watu kwenye chama ni jambo ambalo linafanywa na watu ambao hawana uvumilivu wa kisiasa. Ingekuwa kufuka watu ni jambo zuri sana basi ungeona historia ikikuambia hivyo. Tuna mifano hai kama zeller miller alikuwa democrat lakini alitoa speech kwenye convetion ya bush pai Joe amefanya hivyo lakini hawakufukuzwa uanachama. Kumfukuza mtu uanachama costyake ni kubwa kuliko kumuacha.
Solution hapa ni kujitahidi sana comcontain kwani akiwa nje bado atapata habari na atakuwa huru sana kuzisambaza kuliko sasa. halafu chama ambacho watu wake wote wanakubaliana 100 kwa 100 ni chama gani hicho Mafia tu nao wanakuwa na tofauti
Mbowe sisi sasa tumechoka na tunataka chama kiende mbele na kama utakuwa wewe ni kikwazo iitabidi tukutoe tu kumbuka kuwa ni rahisi kwa sasa kukutoa wewe kuliko hata kuwatoa vichaa. basi ni matamanio yangu kuwa utasikia kilio chetu na kujenga chama na pia kuwa siyo watu wote watakupenda lazima kuna wengine watakupenda wewe ma wengine zito hilo ni la kawaida kabisa. Kuna sehemu kuna mtu alikuwa amependwa na watu wengi lakini hakuwa raisi.
Mbowe sasa ni wakati wa kukipeleka chama kwenye ahtua nyingine na siyo kuanza kudeal na wanachama. mkicheza karata yenu vizuri wataondoka wenyewe na ilakuvukuza normal!
CHADEMA ni chama kizuri sana tatizo la chadema ni Mbowe , Mbowe ni tatizo kubwa chadema.