PreGE2025 Sakata la ajira laibua mjadala wa Kitaifa, ACT Wazalendo wanazungumza muda huu

PreGE2025 Sakata la ajira laibua mjadala wa Kitaifa, ACT Wazalendo wanazungumza muda huu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975

View: https://www.youtube.com/live/-ws4Ojesg7U

Gnry-O8XEAAcw0S.jpeg

Vijana katika sekta isiyo rasmi wapo 80%. Kila uchao wanahamishwa na kukimbizwa. Hawana bima ya afya wala pensheni. Ndio maana nasema Vijana tuungane na tupaze sauti dhidi ya ukosefu wa ajira na hatma yetu." Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo.
GnrvBZuXsAAdsfi.jpeg

Mjadala wa Kitaifa wa Ajira unaendelea hapa katika Ukumbi wa Hakainde Hichilema Makao Makuu ya
ACT Wazalendo, Magomeni Dar es Salaam.​
 
Back
Top Bottom