Baasiiiii kuna nini tena 🙅♀️Mchagua penzi sio mfanya matusi....😜
Nna 47 mkuuWatoto mkipata watoto hua mnajina mshakua wababa😜
Mzee mwenzangu kidonda chako ni cha kupona unafanya kiwe donda ndugu mpaka sisi tutahusika..Acha aniue allooo.....hata nzie wakati mwingine hufia kwenye kidonda....😋
Senior umepatwa na nini siku hizi,mbona umekuwa king'ang'anizi hivyo au ndio umri unakutupa...?Kama akipata bwana mpya na huyo mwanaume akaamua kunipa 500,000 ili nimuache.... je nitakubali??
Nilicho kifanya, nimempa my account number niwekewe hiyo pesa chap....🤗
Au nimekosea wakuu...😎
Hapo classmate ulizingiaKwanza aliniambia tujenge mahusiano ya kudumu....
Minikamwambia cement imeisha...😜