Amekudharau sanaKama akipata bwana mpya na huyo mwanaume akaamua kunipa 500,000 ili nimuache.... je nitakubali??
Nilicho kifanya, nimempa my account number niwekewe hiyo pesa chap....🤗
Au nimekosea wakuu...😎
Hata akikataa hiyo laki 5 lazima atatombewa bora akubali tu 500kAmekudharau sana
Umekosea kidogoo. Mwambie aongezee X 2Kama akipata bwana mpya na huyo mwanaume akaamua kunipa 500,000 ili nimuache.... je nitakubali??
Nilicho kifanya, nimempa my account number niwekewe hiyo pesa chap....🤗
Au nimekosea wakuu...😎
Ungemwambia kuwa hata bila hela unamgawa bure tu 😂😂😂Kama akipata bwana mpya na huyo mwanaume akaamua kunipa 500,000 ili nimuache.... je nitakubali??
Nilicho kifanya, nimempa my account number niwekewe hiyo pesa chap....🤗
Au nimekosea wakuu...😎
Wababa wenyewe wa kuwasemea ni chenga tu, bora akae kimya🤪Kamsemee kwa babaake
Wababa jau, au sio 😂Wababa wenyewe wa kuwasemea ni chenga tu, bora akae kimya🤪
Hujakosea mkuu dunia ina zaidi ya watu bilion nane, Tanzania ina zaidi ya watu milion sabini na zaidi ya nusu ya idadi ni wanawake. Sasa huyu mmoja ni kitu gani utapate wengineKama akipata bwana mpya na huyo mwanaume akaamua kunipa 500,000 ili nimuache.... je nitakubali??
Nilicho kifanya, nimempa my account number niwekewe hiyo pesa chap....🤗
Au nimekosea wakuu...😎
Subiri siku ukiwa baba utaona ulivyo jau😅Wababa jau, au sio 😂
Mm baba tayari mkuuSubiri siku ukiwa baba utaona ulivyo jau😅
Kwenye miti hakuna wajenzi....Kama akipata bwana mpya na huyo mwanaume akaamua kunipa 500,000 ili nimuache.... je nitakubali??
Nilicho kifanya, nimempa my account number niwekewe hiyo pesa chap....🤗
Au nimekosea wakuu...😎