Saikolojia: Ishara zinazoonesha wewe ni handsome/una mvuto wa kiume tofauti unavyodhani

Unadhani biblia ilivyo onyesha yusuf alikuwa na mvuto ,kwa hiyo yusuf ni shoga.afu elewa sio kila mwanaume mwenye mvuto wa kiume ni shoga au hana hizo sifa apo juu,basi angalia yusuf aliekua na mvuto kama alikuwa ana sifa zako ulizozitaja.kumbuka uhandsome hautegami sura nzuri pekee kama watu wengi wanavyodhani pia inategemea umbo la kiume,sauti.n.k. mvuto ni karama ya muumbaji kama ilivo hekima,busara,akili,mali.n.k
Ni kweli..asikwambie mtu kuna mtu kajaliwa kila kitu..Mungu ni Mungu tuu akiamua kumimina baraka zake anaamua haswa!

Mpk mtu anajiuliza hivi huyu mtu kakosa nini
 
Hivi mwanamume hasa unanzaje kuanza kujitathmini kuhusu "mvuto wa mapenzi" yani uvutie mapenzi shuwaini kabisa nyie...!
Basi Biblia yenyewe nao ni wapuuzi?

Mbona ilimtaja Yusuph..jamaa kaleta hoja ya kisaikolojia ilivyo.

Wewe hujapinga kwa hoja..matokeo yake unapoyoma tuu humu.
 
Kwani ushazeeka mara hii? 😀😀
Boss vipi zile picha za suburbs ulikuwa unakuja kuwatambia watu humu zilete tena bana.. Tumezimiss sanaa..

Lakini unakumbuka kumtumia mazeri (cheupe) hata pesa ya nyama? IST ni million 12 tu showroom jitahidi umbadilishie gari sio gari ya marehemu mzee spana mkononi mpaka leo bimkubwa anajibana huko.. We si unamiliki billion 9 kwa Account huko majuu 😂😂😂

Alafu pale mtaani kwenu tu ndo pamebaki na Bati za Lowassa. Fumua kule juu weka kigae cha Alaf, piga PVC kunguru wasinyee cealing maana imeshaoza. Paka rangi ile nyumba, kale kageti katoe weka geti lenye hadhi na wewe mmiliki wa billion 9..

Alafu ukirudigi bongo usikimbie majukumu ya nyumbani unaacha wanapika dagaa wewe unaenda shindia chipsi mayai na kuku pale kibanda umiza kwa mpemba. Acha uchoyo, hizi billion 9 unazomiliki mbadilishie Maza ako maisha pale home..
 
Hali hizi zinanitokea sana mkuu. Sema kitu kimoja ambacho nimejaliwa ni kutokuwa na muda na mademu, unakuta wengine huko job wananialika dinner au breakfast sometimes nakataa!!

Mkipiga story tu kidogo kuhusu mapenzi nakutanaga na neno wewe April26 inaonekana unapenda sana mademu na unao wengi eti eee!!!! Yani kama wanapeleleza fulani hivi!

Mtaani nakoishi kuna mwanamke mmoja ameolewa kuna siku aliniambia April26 naomba unachompaga demu wako basi ,,,daaah nilishangaa baada ya kumalizia kwamba nina mwili wa mapenzi dem wangu atakuwa anafaidi.

Kiukweli nimeona ishara nyingi ulizotaja, kuna uzi niliwahi kuandika kwenye timeline yangu kuwa napendwa na mademu watu wakanibeza wengine kutukana na wengine wachache walinielewa.

Ahsante mtoa uzi najikubali mvuto ni mapenzi ya Mungu hivo nafurahia kuwa hivo japo naamini SITA MVUTIA KILA MTU.
Lipia tangazo mkuu
 
Habari wana JF. leo katika pitapita zangu mtandaoni ni kakuta kisomo cha saikolojia kama kawaida nikaona nisiwe mchoyo acha nishare men wenzangu nao waonyeshe interest yao. kama ujuavyo men wengi tunakuwa ile ya kujichukulia poa yani mtu unajidharau unajiona kama vile hauvutii wanawake,hii kitu inapelekea baadhi ya wanaume kutanguliza pesa sana pale anapo approch ke ila tunasahau kwamba nao ke wanavutiwa na sisi.

Sasa nimekuja ishara ambazo zimehakikiwa na wanasayansi kwamba ukiziona zinatokea au zimewahi kutokea katika maisha yako ya kila siku,hakika wewe ni unavutia (handsome)bila ubishi.

1. Unaangaliwa sana, hivi umewahi kufuma watu au mtu wa jinsia yoyote ame makinika kukuangalia na pale unapomgekukia anakuwa anazuga labda kwa kukusalimia,kukupungia mkono au atakuambia amekufanananisha na mtu usiyemjua ,basi tambua unavutia.

2. Watu wa jinsia zote wanakuhuliza hili swali "una girlfriend/demu ? " .saikolojia inasema wanaumu wenye mvuto watu wengi wana amini wanakuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke fulani hata kama hana mpenzi.Basi kama umewahi kuhulizwa ili swali tambua wewe unavutia kuliko unavyofikiri.

3. Wanawake wanakusikiliza kwa makini pale unapo ongea. Wanawake kisaikolojia wanamakinika na wanaume wanao vutia tofauti na wasiokuwa na mvuto.

4. Wanaume wenzako wanakuiga staili za maisha yako kama mavazi, n.k. umewahi kufika sehemu either ni ofisini una anza kuhisi wanaume wenzako wa hiyo office wana anza kucopy vitukama, unyoaji, mavazi,o ngea yako basi tambua wewe unavutia kwa sababu watu wanapenda kucopy kwa wanao vutia ili nao wavutie.

5. Ukimsifia mtu wa jinsia yoyote mtu huyo anakuwa shauku na furaha sana. Saikolojia inasema watu huwa na furaha zaidi pale wanaposifiwa na mtu mwenye mvuto zaidi yao.

6. Wanaume wenzako wanakuambia wanatamani wangekuwa wewe. Umewahi kusikia marafiki zako wanakuambia wanatamani kuwa kama wewe basi tambua unavutia kwa sababu watu wanatamani kuwa kama watu wanaovutia zaidi yao.

7. Hausifiwi sana. Wanasaikolojia wanasema watu wanauvutia hawasifiwi sana kwa sababu watu hudhani wameshasifiwa sana kwa hiyo hata wakiwasifia ni kama kazi bure .

8. Watu wanapenda kuwa karibu yako au wanajaribu kuanzisha mazungumzo kwa Salamu. Hii sio kwa sababu wewe ni mkarimu sio bali unavutia. Saikolojia inasema jinsia zote zinapenda kuwa na marafiki wanaovutia ili na wao wapate kuvutia kama hao mabest zao. Wanaume wenzako waliokuwa kwenye mahusiano wanaleta hali ya shari au visa Umewahi kuona baadhi ya wanaume wenzako wakutangazia chafu, wana kupiga majungu au kukuponda pale wanapokuwa na wanawake au wanakuchukia bila kosa tena wanakuwa kama wanataka ushindani juu ya kuwin mademu atakama wewe hauna mpango huo basi tambua wewe unavutia ndomana wanakuona wewe ni tishio kwa mahusiano yao.

Unashobokewa au unafatwa na mashoga.hivi umewahi kufatwa na shoga katika historia ya maisha yako kama ndio tambua unamvuto wa kiume tena inawezekana wanawake wengi wamevutiwa na kimapenzi na wewe sema walishindwa kukufuata kama wanavyo fanya mashoga. Hii kwa sababu wanasaikolojia wa mambo ya sex wanasema mashoga huvutiwa na wanaume wenye mvuto ulio katka hali ya kiume zaidi kama ilivyo kwa wanawake yani male sex attraction.

Watu wanadhani wewe utakuwa unapenda wanawake(womenizer).umuwahi kukutoke watu wanakushutumu wewe unapenda mademu(womenizer) hata kama una demu mmoja au hauna kabisa .hii kwa sababu watu hudhani wanaume wanao vutia wanakuwa na sifa ya kuwa na mademu.

Watoto wadogo hasa wakike wanakuchangamkia, hivi hata wadogo hupenda watu wanaovutia .. Hizo juu ndo ishara zenyewe basi ukiona hata moja imekubali basi tambua wewe unamvuto wa kiume (handsome) .

Sasa kama umekubali uzi toa sintofahamu ilowahi kukuta katika maisha na jinsi ulivyokuwa kipofu kuchuka chansi za kuopoa watoto wakali na kama hauna stori wewe gonga like tu
Nakubaliana na wewe kwa 100%,
Umepatia kwa asilimia zote..ndo maisha ninayopitia toka nikiwa mdogo mpaka leo niko mkubwa...yaani mdada anakutega anachoka anakuambia ukweli,ukikataa anakulilia mpaka basi...mara mwingine akuambie nataka unizalishe tu nitalea mwenyewe...fb na insta meseji zinajaa za salamu na kuomba namba...
 
Hali hizi zinanitokea sana mkuu. Sema kitu kimoja ambacho nimejaliwa ni kutokuwa na muda na mademu, unakuta wengine huko job wananialika dinner au breakfast sometimes nakataa!!

Mkipiga story tu kidogo kuhusu mapenzi nakutanaga na neno wewe April26 inaonekana unapenda sana mademu na unao wengi eti eee!!!! Yani kama wanapeleleza fulani hivi!

Mtaani nakoishi kuna mwanamke mmoja ameolewa kuna siku aliniambia April26 naomba unachompaga demu wako basi ,,,daaah nilishangaa baada ya kumalizia kwamba nina mwili wa mapenzi dem wangu atakuwa anafaidi.

Kiukweli nimeona ishara nyingi ulizotaja, kuna uzi niliwahi kuandika kwenye timeline yangu kuwa napendwa na mademu watu wakanibeza wengine kutukana na wengine wachache walinielewa.

Ahsante mtoa uzi najikubali mvuto ni mapenzi ya Mungu hivo nafurahia kuwa hivo japo naamini SITA MVUTIA KILA MTU.
Kuna watu watabisha,ukiwa handsome utajua tu...binafsi nayapitia haya wala sikupingi...yaani ukiamua unaweza kuwa na wanawake saba wapya kwa wiki...yaani mimi nimekua muoga yaani sina mazoea na wanawake tena maana nikizoeana nao tu wanataka mahusiano...bahati mbaya niko selective sana so mara nyingi nareject na hakuna watu wanachukia kukataliwa kama wanawake asiee...uhandsome ni adhabu
 
nimecomment kama wewe juu wanataka kunitoa bandama hawa mashoga wa baadae. yan kuna wanaume wamefilisika kabsa namna ya kufikiri had kuleta nyuz za mvuto kwa mwanaume. kijana wa hivi atawazia mambo ya maana kweli! ndo tunaktana nao mjin na suruali za lastika chini wamepaka lips shiner had puti wanapaka.
Hata miandiko yao tu inaonyesha watoto sio rizki hawa bwashe usipoteze wino wako kubishana na mabwabwa maana haingi akili midume kuanza kujigamba mvuto na kuvutia.
 
u handsome ndo sifa ya mwisho kabsa mwanaume huambulia baada ya kukosa sifa za mwanaume. sifa halis ni akili na elimu, ujuz na maarifa, pesa na mali, hekma na busara, ujasiri na usimamizi, ubunifu na ujasiriamali. ukiona unawaza uzuri jua una dalili zote za ushoga kamuone dr kwa dawa ya kucontrol hormones haraka.
umeongea ukweli ambao nimekuwa nikiujua miaka mingi sana. vijana wengi wanaobahatika kuzaliwa na sura nzuri, wanadhani hapo ndo kupatia maisha na kusahau kutafuta real life
 
Sijawahi amini km wapo mashoga wanao washobokea au kutongoza wanaume straight,

Huo muda wanautoa wapi? Km wapo kweli bas ni wale ambao hawana future yeyote ya kimaisha au wazee waliojichokea .

Shoga smart na anayejitambua yupo buzzy kutafuta mahitaji ya kukidhi maisha yake tena kwa njia halali, na anakua na mwanaume m1 ambaye anatosheleza kwa kukidhi haja ya hisia zake ktk mwili,

Shoga anatakiwa atongozwe tena kwa heshima zote, mbona wanaume mabasha rijali na halisia wapo wengi tyuuh, sasa hao mashoga wanaoshobokea na kutongoza wanaume straight wanakwama wapi?
......
Kuto kuamini kwako haimaanishi kwamba hawapo
 
Boss vipi zile picha za suburbs ulikuwa unakuja kuwatambia watu humu zilete tena bana.. Tumezimiss sanaa..

Lakini unakumbuka kumtumia mazeri (cheupe) hata pesa ya nyama? IST ni million 12 tu showroom jitahidi umbadilishie gari sio gari ya marehemu mzee spana mkononi mpaka leo bimkubwa anajibana huko.. We si unamiliki billion 9 kwa Account huko majuu 😂😂😂

Alafu pale mtaani kwenu tu ndo pamebaki na Bati za Lowassa. Fumua kule juu weka kigae cha Alaf, piga PVC kunguru wasinyee cealing maana imeshaoza. Paka rangi ile nyumba, kale kageti katoe weka geti lenye hadhi na wewe mmiliki wa billion 9..

Alafu ukirudigi bongo usikimbie majukumu ya nyumbani unaacha wanapika dagaa wewe unaenda shindia chipsi mayai na kuku pale kibanda umiza kwa mpemba. Acha uchoyo, hizi billion 9 unazomiliki mbadilishie Maza ako maisha pale home..
Hii Vita itakua imeanzia mbali
 
Boss vipi zile picha za suburbs ulikuwa unakuja kuwatambia watu humu zilete tena bana.. Tumezimiss sanaa..

Lakini unakumbuka kumtumia mazeri (cheupe) hata pesa ya nyama? IST ni million 12 tu showroom jitahidi umbadilishie gari sio gari ya marehemu mzee spana mkononi mpaka leo bimkubwa anajibana huko.. We si unamiliki billion 9 kwa Account huko majuu 😂😂😂

Alafu pale mtaani kwenu tu ndo pamebaki na Bati za Lowassa. Fumua kule juu weka kigae cha Alaf, piga PVC kunguru wasinyee cealing maana imeshaoza. Paka rangi ile nyumba, kale kageti katoe weka geti lenye hadhi na wewe mmiliki wa billion 9..

Alafu ukirudigi bongo usikimbie majukumu ya nyumbani unaacha wanapika dagaa wewe unaenda shindia chipsi mayai na kuku pale kibanda umiza kwa mpemba. Acha uchoyo, hizi billion 9 unazomiliki mbadilishie Maza ako maisha pale home..
Hii Vita itakua imeanzia mbali
 
Back
Top Bottom