Saikolojia: Ishara zinazoonesha wewe ni handsome/una mvuto wa kiume tofauti unavyodhani

u handsome ndo sifa ya mwisho kabsa mwanaume huambulia baada ya kukosa sifa za mwanaume. sifa halis ni akili na elimu, ujuz na maarifa, pesa na mali, hekma na busara, ujasiri na usimamizi, ubunifu na ujasiriamali. ukiona unawaza uzuri jua una dalili zote za ushoga kamuone dr kwa dawa ya kucontrol hormones haraka.
Acheni kukatisha watu tamaa bana ,mahendsome wapo na walikuwekea Zama na Zama ,Mungu aliumba vijana wazuri na wenye akili,nguvu,busara uongozi maarifa ,warriors,na kila aina ya sifa ambayo mwanaume anastahili kuwa nayo.
King David alikua Handsome,Josefu alietaka kubakwa na mke wa potifa alikua Handsome na wengine kadhaa.na wote hawa walikua Ni wanume halisi.
Uzuri wa Mwanaume Ni kazi ya uumbaji wa Mungu.
 
Suala la ushoga ni gumu. Top kumfuata bottom na ikiwa sio ataonekana amedharau, bottom kumfuata Top ni simple hata ikiwa mtu hayuko interested haiharibu sana

Bottom wa kwanza niliyemla alinifuata yeye... Mimi kama Top huwa naogopa kumtongoza mwanaume kwa sababu kuna ambao huwa masharobaro na sio bottoms, so mitandao inasaidia kukutana ambako huwa sio kwa heshima kivile

The fact is mahusiano ya jinsia moja ni changamoto kwa Afrika
Ushoga sio suala gumu kwa muhusika aliye katika hisia za kweli juu ya hili, mdau yeyote mwenye hisia za kweli na uelewa mpana ndani ya ushoga lazima ajue na atambue mdau yeyote aliyepo ndani ya mlengo wa mapenzi haya kwa kumtazama tu tena kwa kujua yupo ktk nafasi ipi.

Top real mwenye hisia za kweli na uelewa mpana juu ya ushoga, anakua anamjua mdau yeyote pale amuonapo kuwa ni bottom, hata km ikiwa ni sehemu tofauti na maudhui au mazingira rafiki ya ushoga, hapa namaanisha pindi amuonapo mdau anajua huyu ni bottom hata km huyo mtu haoneshi au hana dalili za kuonesha hilo ktk macho ya wanao tazama,

Hapo kwenye kumfuata mtu asiekuwa mdau, mara nyingi hii hufanywa na wale wavamiaji wa mapenzi haya, kwani huwa hawana hisia za kweli wala uelewa wowote juu ya mapenzi haya.

Bottom kumfuata top ni rahisi sana, ila sio kihivyo, na mara nyingi hufanywa na wale ambao kwa namna 1 au nyingine kuna sehemu huwa hawako sawa ndani ya nafasi yao binafsi ktk tasnia ya mapenzi haya, pia mazingira huwa yanachangia sana maan wengi wao japo sio wote bottoms wanapendaa kujumika ktk mikusanyiko mbali mbali hasa ile ya furaha, (sherehe, tafrija, harusi nk?), pale ndipo wao hujiona wako huru na kufanya vile wajisikiavyo, ndo hapa utakuta wanaanza kuonesha hisia zao kwa mtu anayemkubali hata km ndo mara ya kwanza kumuona.

Kupitia bottom wako uliyeanza nae kudate kua yeye ndiye aliyekufata kukushawishi uwe nae, ni sawa ikawa hivyo ila usidhani ni wote huwa wanafanya hivyo, na nikuambie wazi kua huyo sio bottom anayejitambua wala hana ufahamu wake binafsi juu ya maisha yake ktk ushoga, bottoms yeyote smart na anayejitambua hawezi kuanza kumtongoza mtu ili awe mpenzi wake, hivi anajionaje? anajichukuliaje? na atawafuata wangapi kwa muktadha huo? . Hawa ndio wale mara nyingi ni viruka njia na vidampa huwa wanakua na yeyote yule ili hali kuridhisha hisia za miili yao, pasipo kujari utu, thamani na usafi wa miili yao. Na mwsho wake huwa wanaishia pabaya.

Kuhusu mitandao, hapa ndipo wahusika wengi huwa wako huru na wana kutana na wenzao ktk masuala mbali mbali juu ya mapenzi haya, ili hali napo hali sio nzuri hasa upande wa mahusiano.

Ushoga sio suala gumu kwa Africa, ni vile tyuuh wahusika wenyewe wameshindwa kuonesha msimamo wao km tasnia pana inayojitosheleza haswaaaah, japo baadhi ya vifungu vya sheria vinaibeba kindaki ndaki na vilivyo tasnia hii pana ulimwenguni, japo inapigwa vita sana.

..................
 
Habari wana JF.

Leo katika pitapita zangu mtandaoni ni kakuta kisomo cha saikolojia kama kawaida nikaona nisiwe mchoyo acha nishare men wenzangu nao waonyeshe interest yao. kama ujuavyo men wengi tunakuwa ile ya kujichukulia poa yani mtu unajidharau unajiona kama vile hauvutii wanawake,hii kitu inapelekea baadhi ya wanaume kutanguliza pesa sana pale anapo approch ke ila tunasahau kwamba nao ke wanavutiwa na sisi.

Sasa nimekuja ishara ambazo zimehakikiwa na wanasayansi kwamba ukiziona zinatokea au zimewahi kutokea katika maisha yako ya kila siku,hakika wewe ni unavutia (handsome)bila ubishi.

1. Unaangaliwa sana, hivi umewahi kufuma watu au mtu wa jinsia yoyote ame makinika kukuangalia na pale unapomgekukia anakuwa anazuga labda kwa kukusalimia,kukupungia mkono au atakuambia amekufanananisha na mtu usiyemjua ,basi tambua unavutia.

2. Watu wa jinsia zote wanakuhuliza hili swali "una girlfriend/demu ? " Saikolojia inasema wanaumu wenye mvuto watu wengi wana amini wanakuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke fulani hata kama hana mpenzi. Basi kama umewahi kuhulizwa ili swali tambua wewe unavutia kuliko unavyofikiri

3. Wanawake wanakusikiliza kwa makini pale unapo ongea. Wanawake kisaikolojia wanamakinika na wanaume wanao vutia tofauti na wasiokuwa na mvuto.

4. Wanaume wenzako wanakuiga staili za maisha yako kama mavazi, n.k. umewahi kufika sehemu either ni ofisini una anza kuhisi wanaume wenzako wa hiyo office wana anza kucopy vitukama, unyoaji, mavazi,o ngea yako basi tambua wewe unavutia kwa sababu watu wanapenda kucopy kwa wanao vutia ili nao wavutie.

5. Ukimsifia mtu wa jinsia yoyote mtu huyo anakuwa shauku na furaha sana. Saikolojia inasema watu huwa na furaha zaidi pale wanaposifiwa na mtu mwenye mvuto zaidi yao.

6. Wanaume wenzako wanakuambia wanatamani wangekuwa wewe. Umewahi kusikia marafiki zako wanakuambia wanatamani kuwa kama wewe basi tambua unavutia kwa sababu watu wanatamani kuwa kama watu wanaovutia zaidi yao.

7. Hausifiwi sana. Wanasaikolojia wanasema watu wanauvutia hawasifiwi sana kwa sababu watu hudhani wameshasifiwa sana kwa hiyo hata wakiwasifia ni kama kazi bure .

8. Watu wanapenda kuwa karibu yako au wanajaribu kuanzisha mazungumzo kwa Salamu. Hii sio kwa sababu wewe ni mkarimu sio bali unavutia. Saikolojia inasema jinsia zote zinapenda kuwa na marafiki wanaovutia ili na wao wapate kuvutia kama hao mabest zao. Wanaume wenzako waliokuwa kwenye mahusiano wanaleta hali ya shari au visa Umewahi kuona baadhi ya wanaume wenzako wakutangazia chafu, wana kupiga majungu au kukuponda pale wanapokuwa na wanawake au wanakuchukia bila kosa tena wanakuwa kama wanataka ushindani juu ya kuwin mademu atakama wewe hauna mpango huo basi tambua wewe unavutia ndomana wanakuona wewe ni tishio kwa mahusiano yao.

Unashobokewa au unafatwa na mashoga.hivi umewahi kufatwa na shoga katika historia ya maisha yako kama ndio tambua unamvuto wa kiume tena inawezekana wanawake wengi wamevutiwa na kimapenzi na wewe sema walishindwa kukufuata kama wanavyo fanya mashoga. Hii kwa sababu wanasaikolojia wa mambo ya sex wanasema mashoga huvutiwa na wanaume wenye mvuto ulio katka hali ya kiume zaidi kama ilivyo kwa wanawake yani male sex attraction.

Watu wanadhani wewe utakuwa unapenda wanawake(womenizer).umuwahi kukutoke watu wanakushutumu wewe unapenda mademu(womenizer) hata kama una demu mmoja au hauna kabisa .hii kwa sababu watu hudhani wanaume wanao vutia wanakuwa na sifa ya kuwa na mademu.

Watoto wadogo hasa wakike wanakuchangamkia, hivi hata wadogo hupenda watu wanaovutia .. Hizo juu ndo ishara zenyewe basi ukiona hata moja imekubali basi tambua wewe unamvuto wa kiume (handsome) .

Sasa kama umekubali uzi toa sintofahamu ilowahi kukuta katika maisha na jinsi ulivyokuwa kipofu kuchuka chansi za kuopoa watoto wakali na kama hauna stori wewe gonga like tu
weka picha yako tukuone, mchawi picha tu mkuu
 
Sijawahi amini km wapo mashoga wanao washobokea au kutongoza wanaume straight,

Huo muda wanautoa wapi? Km wapo kweli bas ni wale ambao hawana future yeyote ya kimaisha au wazee waliojichokea .

Shoga smart na anayejitambua yupo buzzy kutafuta mahitaji ya kukidhi maisha yake tena kwa njia halali, na anakua na mwanaume m1 ambaye anatosheleza kwa kukidhi haja ya hisia zake ktk mwili,

Shoga anatakiwa atongozwe tena kwa heshima zote, mbona wanaume mabasha rijali na halisia wapo wengi tyuuh, sasa hao mashoga wanaoshobokea na kutongoza wanaume straight wanakwama wapi?
......

mkuu upo mkoa gani ? aisee mashoga wenye hela wapo wengi daslama last week nipo on foot narud home kasimamisha gari kaniomba niingie kwenye gari akanyonye mboo yan bila aibu, aisee acha kabisaa..
 
Ushoga sio suala gumu kwa muhusika aliye katika hisia za kweli juu ya hili, mdau yeyote mwenye hisia za kweli na uelewa mpana ndani ya ushoga lazima ajue na atambue mdau yeyote aliyepo ndani ya mlengo wa mapenzi haya kwa kumtazama tu tena kwa kujua yupo ktk nafasi ipi.

Top real mwenye hisia za kweli na uelewa mpana juu ya ushoga, anakua anamjua mdau yeyote pale amuonapo kuwa ni bottom, hata km ikiwa ni sehemu tofauti na maudhui au mazingira rafiki ya ushoga, hapa namaanisha pindi amuonapo mdau anajua huyu ni bottom hata km huyo mtu haoneshi au hana dalili za kuonesha hilo ktk macho ya wanao tazama,

Hapo kwenye kumfuata mtu asiekuwa mdau, mara nyingi hii hufanywa na wale wavamiaji wa mapenzi haya, kwani huwa hawana hisia za kweli wala uelewa wowote juu ya mapenzi haya.

Bottom kumfuata top ni rahisi sana, ila sio kihivyo, na mara nyingi hufanywa na wale ambao kwa namna 1 au nyingine kuna sehemu huwa hawako sawa ndani ya nafasi yao binafsi ktk tasnia ya mapenzi haya, pia mazingira huwa yanachangia sana maan wengi wao japo sio wote bottoms wanapendaa kujumika ktk mikusanyiko mbali mbali hasa ile ya furaha, (sherehe, tafrija, harusi nk?), pale ndipo wao hujiona wako huru na kufanya vile wajisikiavyo, ndo hapa utakuta wanaanza kuonesha hisia zao kwa mtu anayemkubali hata km ndo mara ya kwanza kumuona.

Kupitia bottom wako uliyeanza nae kudate kua yeye ndiye aliyekufata kukushawishi uwe nae, ni sawa ikawa hivyo ila usidhani ni wote huwa wanafanya hivyo, na nikuambie wazi kua huyo sio bottom anayejitambua wala hana ufahamu wake binafsi juu ya maisha yake ktk ushoga, bottoms yeyote smart na anayejitambua hawezi kuanza kumtongoza mtu ili awe mpenzi wake, hivi anajionaje? anajichukuliaje? na atawafuata wangapi kwa muktadha huo? . Hawa ndio wale mara nyingi ni viruka njia na vidampa huwa wanakua na yeyote yule ili hali kuridhisha hisia za miili yao, pasipo kujari utu, thamani na usafi wa miili yao. Na mwsho wake huwa wanaishia pabaya.

Kuhusu mitandao, hapa ndipo wahusika wengi huwa wako huru na wana kutana na wenzao ktk masuala mbali mbali juu ya mapenzi haya, ili hali napo hali sio nzuri hasa upande wa mahusiano.

Ushoga sio suala gumu kwa Africa, ni vile tyuuh wahusika wenyewe wameshindwa kuonesha msimamo wao km tasnia pana inayojitosheleza haswaaaah, japo baadhi ya vifungu vya sheria vinaibeba kindaki ndaki na vilivyo tasnia hii pana ulimwenguni, japo inapigwa vita sana.

..................
If any of this could be true, kusingekuwa na haja ya kuwa na blogs za kutafutana na telegram channels

Maelezo yako yote hayazingatii mazingira halisi ya kiafrika. Watu wengi hupenda kushiriki mapenzi ya jinsia moja, ila hawako huru kushiriki and thus watu hujificha

Si ajabu unaona Top akitafuta mtu anasema kabisa nataka ASIYEJIONESHA kwa sababu sisi ni sehemu ya jamii, no matter how you do it lakini ni muhimu kuweka utu wako sawa kwa jamii

Hence gays amba hutngzwa ni wale amba hawajali kuhusu jamii, wanaonesha dhahiri kuwa ni gays, no matter how good they are, huwa wanatongozwa kuliwa na kuumizwa kwa sababu ya hali ya nchi ilivyo

Ukijua kuwa Bado jamii ni Homophobic hautataka kulazimisha mawazo ya Bottom kusubiri kutongozwa bali kutafuta atakayemfaa. Tumeshuhudia bottoms wakipigwa kwa kosa dogo tu kisa anajionesha kuwa ni gay, hata baadhi ya huduma wamekuwa wakinyanyapaliwa

Hence! I always teach, kujua matakwa ya jamii, na kufanya starehe yako isiwe chanzo cha kutengwa kwako, ukaumia kwa upweke. Gays ambao hujionesha hukosa heshima dhahiri na Top serious huogopa kuwa nae kwa kuwa inachafua image
 
Unaweza ukawa unatazamwa ukazani unapendwa kumbe Wanashangaa hilo komwe lako na vibarango vyako kichwani!!!

Au unapita na gari lako wanakutizama unazani umewashitua kumbe wanakushangaa vile gari lako lilivyokaa kama kiberenge, vioo havipandi wala kushuka, Chini linagonga utazani umebeba kabati la vyombo!
😂😂
 
Unaweza ukawa unatazamwa ukazani unapendwa kumbe Wanashangaa hilo komwe lako na vibarango vyako kichwani!!!

Au unapita na gari lako wanakutizama unazani umewashitua kumbe wanakushangaa vile gari lako lilivyokaa kama kiberenge, vioo havipandi wala kushuka, Chini linagonga utazani umebeba kabati la vyombo!

Karma pita huku
 
Tafuta huu uzi ndo utaelewa condition nzima ilivo .mkuu ila tambua sihamasishi ushoga au watu wafanye ushoga hapana mimi naelezea Fact za saikolojia kama nilivyo soma .sijui umenielewa

View attachment 1748119
Walio wengi wanazaliwa wakiwa wanaume marijali na wazima kabisa, tatizo linaanzia ktk makuzi, makundi, malezi na mazingira vyote hivi vikiwa vinaratibiwa au kuongozwa na influence au msukumo wa kusababishiwa au kujisababishia mwenyewe.

Tatizo lingine kubwa kuliko yote ni kwamba mtoto wa kiume ukishakubali kuliwa na dume jenzako, jua tiyari tumekupoteza kwenye kundi la wanaume na muda wowote ule baada ya kuliwa lazma kiasilia mwili unareact na kuanza kuwa na sifa za kike na kuleta taharuki kwa watu kushindwa kutambua jinsia yako.....

Hii ni kwasababu sperms za mwanaume/ kiume zina vichocheo/ kemikali zenye nguvu kubwa mno zinazochochea au kurutubisha hormones za kike mfano: kufanya sauti kuwa nyembamba zaidi, kufanya ngozi kulainika na kurutubisha baadhi ya maungo/maumbile ya mwanamke.

Sperms za kiume zinapogusa michubuko, lazma vichocheo au kemikali zake zinapenya kwenye damu hata kama kusipokuwa na michubuko lazma vichocheo/kemikali za sperms zitapenya kwenye utumbo na kuingia kwenye damu maana zinavimelea/vichocheo na kemikali zenye uwezo mkubwa mno wa kupenya sehemu laini.

Sasa sperms za kiume zikishaingia kwenye damu ya mwanaume anayeliwa lazma kiasilia zianze kufanya kazi zinazostahili na zilizoumbiwa kuzifanya. Ikumbukwe zenyewe zimeumbiwa kuchochea hormones za kike na mwili wa mwanamke kama vile; kuremba sauti(sauti nyembamba), ngozi kuwa laini na sifa zingine za kike.

Ndo maana mashoga wengi wanatabia na sifa za kike, utakuta mtoto wa kiume anaongea kama demu, anajibinulisha mdomo, mara arembue, mara aongee kwa kubinua vidole vya viganjani (wanapenda sana kusuta), saa nyingine hata sauti zao zinakuwa nyembamba kama demu hata tembea zao wengine wanajibinua kama wanawake, mwili...........

hubadilika na tabia hubadilika na saa ingine hupelekea hata watu kushindwa kutambua jinsia ya muhusika. Ukiona hivyo jua sperms zimeshaingia damuni mwa muhusika, na muhusika anayeliwa kuacha tabia hii inakuwa ngumu mno tena sana maana tiyari ipo damuni, hata akiacha ni mbwembwe tu, hajapata wa kumtafuna.

Sperms ni sumu kali sana, haitakiwi kabisa mwanaume kukubali kuingiliwa tu na kuliwa kirahisi, iwapo ukikubali wee jua tiyari wee ni mwanamke na tushakupoteza kwenye kundi la wanaume. Ndo maana mtoto/mtu mzima anapolawitiwa huwaishwa hospotalini na huduma ya kwanza anayopewa ni kupigwa bomba na kutolewa sperms zote nje.
 
Back
Top Bottom