Said Arfi: Katiba ya CHADEMA ina mapungufu

Said Arfi: Katiba ya CHADEMA ina mapungufu

Chadema inapoteza ushawishi wake kwa wananchi kwa kasi sana.
Baadhi ya vitu vinavyochangia kupoteza umaaarufu wake ni pamoja na tabia ya viongozi kuminya uhuru wa mawazo ikitokea ukatoawa mawazo yanayopongana na msimamo wa viongozi wakuu unaitwa msaliti na majina mengine mabaya,
Isipolekebishwa tabia hii ndio itakayokuwa kuwa kitanzi na kaburi la chama hiki.
 
Mkuu , sio mara moja wala mbili, nimekuwa nikitilia mashaka utimamu wako!. Kuna vitu ni vichaa tuu ndio wanaweza kuvisema!.

Pasco
Mkuu kasema anao ushahidi kabisa, hivyo mwenyewe unaweza pima hawa jamaa zetu wamefikia pabaya. Kumbe lisemwalo lipo!..Nimeamini.
 
Zitto alitakiwa aitwe kwenye vikao vipi,vya nyumbani kwake au kwenye vikao vya mahakama.

Kama ni kwenye vikao vya chama Zitto alitwa lakini yeye alikimbilia Mahakamani kuweka pingamizi uwanachama wake usijadiliwe.

Baada ya Zitto kushindwa kesi alipitiliza huko huko hakurudi tena kwenye chama kwa kuwa alikuwa anajua kuwa ameshajivua uwanachama kwa mjibu wa katiba ya chama kutokana na kitendo chake cha kukipeleka chama Mahakamani na yeye kushindwa kesi.

Kwa mazingira kama haya ambayo yaliwekwa na Zitto mwenyewe,vikao vingeweza kumjadili vipi mtu ambae ameweka pingamizi Mahakamani ili asijadiliwe na baada ya muda mfupi kajivua uwanachama kwa mjibu wa katiba baada ya kushindwa kesi Mahakamani.
 
Kwani katiba ipi haina mapungufu?Quran yenyewe in amapungufu ndio katiba?

kamanda wangu, kauli za kijinga kama hizi hazisaidi chama chako,sana sana tu gharama yake ni kubwa sana.chunga sana ulimi wako kwa waislam ni TUSI kubwa sana kufananisha QUR'AN na katiba aliyoitunga mwanadamu.Huu ni ushauri tu kamanda.
 
Haha..nipindishe kwanini?Nilishamjibu mwenzio...Quran yenyewe imesema kwamba Muhamad aliingiza mistari ambayo ilitokana na shetani kutikisa ulimi wake.Sasa km ni matusi itakuwa imejitukana yenyewe.Sasa na wewe unajita great thinker haalfu unawahi ktk umbea unajifanya huoni hiyo fact?Ndio unataka urais wewe....utaishia mwandiga km washamba wengine.

kamanda huku unapoingia sipo unazidi kulikoroga tu ,hakuna kitu kama hicho kwenye QUR'AN hayo ni maneno umemezeshwa tu,hayana ushahidi hayo,maneno ya vijiweni tu.fanya research kabla hujaongea.penda sana kusoma vitabu tofauti tofauti upanue uelewa wako kamanda.
 
kamanda huku unapoingia sipo unazidi kulikoroga tu ,hakuna kitu kama hicho kwenye QUR'AN hayo ni maneno umemezeshwa tu,hayana ushahidi hayo,maneno ya vijiweni tu.fanya research kabla hujaongea.penda sana kusoma vitabu tofauti tofauti upanue uelewa wako kamanda.
Mkuu MALUWI Muache huyu Mkuu Nicholas ni kipofu kama alivyosema Bwana Yesu Kipofu akimuongoza Kipofu Mwenzie wote wawili watatumbukia Shimoni muache kama alivyo Mungu atamtumbukiza kesho kwenye shimo la moto wa jahanamu huyu Nicholas Mlokole.
 
Haha..nipindishe kwanini?Nilishamjibu mwenzio...Quran yenyewe imesema kwamba Muhamad aliingiza mistari ambayo ilitokana na shetani kutikisa ulimi wake.Sasa km ni matusi itakuwa imejitukana yenyewe.Sasa na wewe unajita great thinker haalfu unawahi ktk umbea unajifanya huoni hiyo fact?Ndio unataka urais wewe....utaishia mwandiga km washamba wengine.

We jamaa ni punga kabisa

Ova
 
Si muonee bure Nicholas amefananisha Katiba ya chadema na kitabu kitukufu cha Dini ya Kiislam Quran Nicholas amesema kuwa Quran ina mapungufu itakuwa katiba ya chadema ndio hapo nilipo mwambia Mkuu Nicholas anazungumza maneno ya Pumba. Na humu ndani Nicholas yupo siku nyingi huwezi kufananisha Katiba ya chadema na Kitabu cha Dini ya Waislam Quran vipo sawasawa? Quran ni kitabu cha Mwenyeezi Mungu kwa kupitia Dini ya Waislam na Katiba imetungwa na bindamu kwa chama cha kisiasa chama cha chadema huwezi kufananisha Katiba ya chadema na Quran ndio nikamwambia Nicholas Sio Great Thinker yupo humu ndani Nicholas tangu mwaka 2006 anazungumza maneno ya Pumba namna hii?
Acheni Blah blaha nyie.....ndio kusema mnaogopa kuface reality au....sasa km mnaogopa kusema kweli kwamba kuna mapungufu,mnasthubutu vipi sema kwamba ni cha Mwenyezi Mungu?Hamuwezi niambia kuwa ni wehu kiasi hicho hamjawahi soma mahali Qurani inakiri yenyewe kuwa Mohamad kaingiza mistari ambayo ni matokeo ya shetan kumpindisha ulimi?Sasa mna thamani gani duniani?Km hamjaweza hata muuliza sheikh wenu hicho kitu kujihakikishia au ahta kusoma ya kiswahili km mpo shallow....ila nyie hamuaminiki kwani mnaweza kuna UONGO mntakatifu..kudanganya kwa maslahi ya dini.
 
Acheni Blah blaha nyie.....ndio kusema mnaogopa kuface reality au....sasa km mnaogopa kusema kweli kwamba kuna mapungufu,mnasthubutu vipi sema kwamba ni cha Mwenyezi Mungu?Hamuwezi niambia kuwa ni wehu kiasi hicho hamjawahi soma mahali Qurani inakiri yenyewe kuwa Mohamad kaingiza mistari ambayo ni matokeo ya shetan kumpindisha ulimi?Sasa mna thamani gani duniani?Km hamjaweza hata muuliza sheikh wenu hicho kitu kujihakikishia au ahta kusoma ya kiswahili km mpo shallow....ila nyie hamuaminiki kwani mnaweza kuna UONGO mntakatifu..kudanganya kwa maslahi ya dini.
Ninakuacha kama ulivyo inaonyesha wewe una matatizo ya akili .
 
kamanda wangu, kauli za kijinga kama hizi hazisaidi chama chako,sana sana tu gharama yake ni kubwa sana.chunga sana ulimi wako kwa waislam ni TUSI kubwa sana kufananisha QUR'AN na katiba aliyoitunga mwanadamu.Huu ni ushauri tu kamanda.
Wala siongelee chama hapa..hapa naongolea utu na ndio maana hamna cha maana kutetea watu au hata kukemea boko haramu kwa vile wanafahamu maandiko na si wanafiki km nyie wehu mnaokimbilia andika ujinga hapa.Ndio maana waningia ktk ibada zenu pamoja na nyie na wanakwena kuua,huku wakiwaambia kuwa nyie ni wanafiki hadharani.Najua nilileta mistari hapa tutaanza kuhama..na nyie mtaishia kusema oh..sijui hiyo mistari ilitumia wapi na wapi,sijui huo ni upotoshaji....ingekuwa vizuri mkaweza link hapa ya quran ya kiswahili au kiingereza mnayoamini ipo sahihi..halafu nikuchomolee mstari....
 
kamanda huku unapoingia sipo unazidi kulikoroga tu ,hakuna kitu kama hicho kwenye QUR'AN hayo ni maneno umemezeshwa tu,hayana ushahidi hayo,maneno ya vijiweni tu.fanya research kabla hujaongea.penda sana kusoma vitabu tofauti tofauti upanue uelewa wako kamanda.
Kwanini uliweke link ya Quran ya kiswahili au kiingereza(watakayoelewa watu wengine) unayoiamini hapa ili nikuchomolee mistari ili mjione wapuuzi kabisa,mnasomewa mistari tuu na kuanza tembea kifua mbele km ndio mmemaliza kila kitu.mnavyokurupuka inaonyesha jinsi gani hata mnavyowahi kuchoma vitu na kufanya vurugu mbaya ni upimbi tuu na uvivu wa kusoma.
 
Mkuu MALUWI Muache huyu Mkuu Nicholas ni kipofu kama alivyosema Bwana Yesu Kipofu akimuongoza Kipofu Mwenzie wote wawili watatumbukia Shimoni muache kama alivyo Mungu atamtumbukiza kesho kwenye shimo la moto wa jahanamu huyu Nicholas Mlokole.
Wewe ndie unayeona hujana mistrari iliyo wazi kabisa ktk hizo haya....poleni sana.Kwanini huo mfano usiotoe ktk al-kitabu km kitabu kimekamilika?
 
Chadema inapoteza ushawishi wake kwa wananchi kwa kasi sana. Baadhi ya vitu vinavyochangia kupoteza umaaarufu wake ni pamoja na tabia ya viongozi kuminya uhuru wa mawazo ikitokea ukatoawa mawazo yanayopongana na msimamo wa viongozi wakuu unaitwa msaliti na majina mengine mabaya, Isipolekebishwa tabia hii ndio itakayokuwa kuwa kitanzi na kaburi la chama hiki.
Haha...tangu umekaririshwa unarudia km tape iliypigwa loop.Inaonyesha jinsi hujui maana ya uhuru wa kutoa mawazo na na mawazo kukubaliwa...kutoa mawazo ni uhuru..ila kuchukuwa kila wazo si utaratibu..si tayari keshapata nafsi hiyo ACT na sasa keshakuwa Ay..atoooulllaah?
 
Dah udini huu utakumaliza yaani Arfi anashambuliwa hadi imefikia kuitaja Quran?... ama kweli MUISLAAM anayebakia Chadema ana akili finyu sana na bahati mbaya kwenu nasikia hata Kanisa la Ujarumani limekata misaada mtafanya nini mwaka huu Chadema. Mkuu wangu hapa umevuka mpaka yaani duh wala sintosema zaidi..
kwani iliumbwa isitajwe?Kwanini usingejiuliza km hicho ni kweli,na km ni kweli kwanini hukuwahi kiona?unakimbilia huu upuuzi na pengine hata kuleta vurugu na uharibifu
 
Ninakuacha kama ulivyo inaonyesha wewe una matatizo ya akili .
Pengine nikusaidie tuu...unadhani sababu ni nini mtu anapozidi kujua na kuifuata dini yenu anazidi kuwa kituko na muaribifu wa kila jema ambalo Mungu kaibariki dunia?Badala ya kuwa baraka kwa dunia?
 
Back
Top Bottom