Said Arfi: Katiba ya CHADEMA ina mapungufu

Said Arfi: Katiba ya CHADEMA ina mapungufu

Sio viongozi wa chama mkuu,sema katiba ya chama ndio iliyomfukuzisha zito uanachama.unashindwaje kuelewa jambo dogo namna hii?watu wanaongelea katiba wewe unaongelea viongozi,ni aibu mtu ku-comment bila kujipanga.
Hahahahahahahahaah! Aisee hapo kwenye Valentine Day umenifurahisha sana! Dah umenichekesha sana
 
Dah udini huu utakumaliza yaani Arfi anashambuliwa hadi imefikia kuitaja Quran?... ama kweli MUISLAAM anayebakia Chadema ana akili finyu sana na bahati mbaya kwenu nasikia hata Kanisa la Ujarumani limekata misaada mtafanya nini mwaka huu Chadema. Mkuu wangu hapa umevuka mpaka yaani duh wala sintosema zaidi..
una kingine cha kusema....au kujitetea..udini ndi nini?Huo udini ,ukanda mbona CCM mnamfanyia Lowasa?Mbona ulichagua Mkombozi na kulilia ifutwe ili ukawaambie wengine kwamba ilikuwa inakula Cake ya taifa...si ndio Nyie mlikuwa mnahubiri mfumo Kristu.Upuuzi tunajua ndio haiba yenu....mpo abusive sana democrasia huwa manipenda inapowasaidia,mahakama mnapenda zinapowasaidia,ila mwisho wa siku mnazipiga vita.
 
una kingine cha kusema....au kujitetea..udini ndi nini?Huo udini ,ukanda mbona CCM mnamfanyia Lowasa?Mbona ulichagua Mkombozi na kulilia ifutwe ili ukawaambie wengine kwamba ilikuwa inakula Cake ya taifa...si ndio Nyie mlikuwa mnahubiri mfumo Kristu.Upuuzi tunajua ndio haiba yenu....mpo abusive sana democrasia huwa manipenda inapowasaidia,mahakama mnapenda zinapowasaidia,ila mwisho wa siku mnazipiga vita.
Alaa usipindishe hoja hapa umesema hata Quran ina mapungufu kwa Muislaam hakuna tusi kubwa zaidi ya hilo..
 
Alaa usipindishe hoja hapa umesema hata Quran ina mapungufu kwa Muislaam hakuna tusi kubwa zaidi ya hilo..
Haha..nipindishe kwanini?Nilishamjibu mwenzio...Quran yenyewe imesema kwamba Muhamad aliingiza mistari ambayo ilitokana na shetani kutikisa ulimi wake.Sasa km ni matusi itakuwa imejitukana yenyewe.Sasa na wewe unajita great thinker haalfu unawahi ktk umbea unajifanya huoni hiyo fact?Ndio unataka urais wewe....utaishia mwandiga km washamba wengine.
 
Haha..nipindishe kwanini?Nilishamjibu mwenzio...Quran yenyewe imesema kwamba Muhamad aliingiza mistari ambayo ilitokana na shetani kutikisa ulimi wake.Sasa km ni matusi itakuwa imejitukana yenyewe.Sasa na wewe unajita great thinker haalfu unawahi ktk umbea unajifanya huoni hiyo fact?Ndio unataka urais wewe....utaishia mwandiga km washamba wengine.
Nipe sura yenye mistari hiyo kuwakilisha hoja yako..Ujue unashuhudia kitu cha uongo na unafiki hapa..
 
mwaka huu tutasikia mengi kutoka chama hiki cha kichaga,matusi,kujikweza,ubabe,udicteta,ukabila;udini ndio falsafa yao naona sasa kimefikia kikomo cha kukua
haha..loosers....yote hayo umeandika hata hujui maana yake.Nikikupa nafsi ya kuyaelezea hapa utaishia kutukana watu tuu...halfu ulie wewe ndie umetukanwa..Chezea kuwa possessed...ulishaingia shimoni ni wa shimoni tuu..wewe ni mali ya shetani.
 
Nipe sura yenye mistari hiyo kuwakilisha hoja yako..Ujue unashuhudia kitu cha uongo na unafiki hapa..
Nikuoe ikusaidie nini km hujawahi soma ?km huawahi soma ni kwamba hujui unachobishia km kawaida yako.
 
haha...haina mapungufu kwa sababu?Wewe mwehu kweli..mbona sababu cyclic?....Yenyewe inasema ilirekebishwa baada ya shetani kutelezesha ulimi wa bwana ntume....au huajwahi soma?au hujui maana yake?Au hujui inasema wazi kwamba muhamad alisema na vingine vilivyotoka kwa sheitwan?Na hivyo ndivyo vinavyowasumbua sana waislam kujua wapi kuna shida na upi ndio msatari wenye shida..Muuajai,msinzi,mbakaji na mtenda haki wote wana mistari na yoye ina haki sawa...
Tatizo lako wewe unaletamatusi ukitaka kumkosoa mkosoe huyu mwanachama mwenzenu aliye ikosopa katiba yeye iliyo na mapungufu ndani yake kwa sababu ni katiba aliyotunga binadamu sio Mungu. wewe huna cha kuzungumza kuliko alivyosema Mbunge wa Mpanda Said Arf wewe huna elimu ya kumzidi Mbunge wa Mpanda aliyeikosoa katika ya chama chake ana haki ya kuikosoa katiba iliyotungwa na binadamu wewe huna haki ya kuikosoa Quran ya Allah kuwa ina makosa utaalanika na kuangamia. Huna Elimu yoyote ile ya kuweza kuikosoa Quran acha maneno yako kama mtu aliyekunywa maji ya chooni kama huna maneno ya kuzungumza nyamaza usichanganye katiba yenu uchwara na Quran ya Mwenyeezi Mungu utalaanika.





 
Naziona dalili za kujirudi kwa mbunge huyu, labda baada ya kusoma upepo kwa kuaangalia mwitikio wa wananchi baada ya mwanasiasa wa tanzania anyetumia cheo kama cha --------- wa Iran au yule mwenzake wa Korea kaskazini.

Arfi amekuwa kiongozi wa ngazi za juu wa CDM, hivyo ni matarajiao yangu kuwa anafahamu na kanuni, taratibu na sheria za chama na pia alihusika kupitisha katiba anayopinga hii leo. hili sio tatizo kwani hutokea mtu akapata wazo la pili baada ya kutoea kwa kitu fulani. Ninachojiuliza ni vipi makamu mwenyekiti alalamike ubovu wa katiba? hakuna utaratibu wa ndani ya chama wa kuwasilisha mapendekezo ya kufanyika kwa mabadiliko ya katiba?

kadhalika sio sahihi kusema kuwa katiba ya chadema inapingana na katiba ya nchi kwa kuwazuia wananchama wake kupeleka migogoro yao mahakamani. Ingetokea vipi kama mahakama kuu ingeamua kwa upande wa kiongozi mkuu? Hivi Pale TTF wanaruhusu migogoro yao kupelekwa mahakamani?

Wakati tunaona ni vibaya kwa jaji moja wa mahakama kutengua ubunge wa anayedaiwa kuchaguliwa na mamia kama sio maelfu ya wanannchi, vipi leo tuone ni sahihi migogoro ya ndani ya chama kupelekwa huko?
umenena vyema mkuu
 
Tatizo lako wewe unaletamatusi ukitaka kumkosoa mkosoe huyu mwanachama mwenzenu aliye ikosopa katiba yeye iliyo na mapungufu ndani yake kwa sababu ni katiba aliyotunga binadamu sio Mungu. wewe huna cha kuzungumza kuliko alivyosema Mbunge wa Mpanda Said Arf wewe huna elimu ya kumzidi Mbunge wa Mpanda aliyeikosoa katika ya chama chake ana haki ya kuikosoa katiba iliyotungwa na binadamu wewe huna haki ya kuikosoa Quran ya Allah kuwa ina makosa utaalanika na kuangamia. Huna Elimu yoyote ile ya kuweza kuikosoa Quran acha maneno yako kama mtu aliyekunywa maji ya chooni kama huna maneno ya kuzungumza nyamaza usichanganye katiba yenu uchwara na Quran ya Mwenyeezi Mungu utalaanika.
Kuna elimu gani ya kuona ujinga wake?Kuna elimu gani ya kujua kila katiba ina makosa kwanini afikiri ni ya cdm tuu...pengine nyie wenye ilm mnaweza tuambia.wengine mnaongelea sayansi zenu za kutuliza wale waumini wengine wasionekana
 
Kuna elimu gani ya kuona ujinga wake?Kuna elimu gani ya kujua kila katiba ina makosa kwanini afikiri ni ya cdm tuu...pengine nyie wenye ilm mnaweza tuambia.wengine mnaongelea sayansi zenu za kutuliza wale waumini wengine wasionekana
Huyu Mbunge wa Mpanda ndugu Saidi Arfi ndio wewe ulitakiwaumuulize Mwanachama mwenziwako yeye Mbunge Saidi Arfi ameikosoa Katiba ya chadema kuwa ina mapungufu sasa kama wewe ni mwanachama una haki kuuliza wapi kwenye makosa ? sio kuleta maneno yako ya matusi humu ndani kuwa heshima ndugu halafu wewe upo siku nyingi humu ndani lakini mazungumzo yako sio ya mtu Great Thinker kwanini? Unapenda kuzungumza maneno ya Pumba?



  • JF Senior Expert Member


    Join Date : 7th March 2006
    Posts : 18,283
    Rep Power : 44785463
    Likes Received3893
    Likes Given5196
Upo humu Tangu Mwaka 2006 lakini unacho zungumza humu ndani ni maneno ya Pumba kwanini Mkuu Nicholas hujiheshimu?
 
Hakuna chama chochote cha siasa kitakacho ruhusu wanachama wake kukishitaki mahakamani kabla utaratibu wa ndani haujafuatwa na kukamilika. Hii ni kanuni ya vyama vyote hata wa vya mpira wa miguu! Arfi anaongea anachokijua.
 
mwaka huu tutasikia mengi kutoka chama hiki cha kichaga,matusi,kujikweza,ubabe,udicteta,ukabila;udini ndio falsafa yao naona sasa kimefikia kikomo cha kukua

Kuna Chama kinachotamba kitatawala Milele.Chenyewe kiliweka kabisa kwenye ilani yake Kuanzisha Mahakama ya Kidini Nchini.Bila shaka na wewe ni Muumini wa hiki chama ndio maana maongezi yako ni ya kibaguzi.Kama sio Mkwara wa Maaskofu,hivi sasa tungekuwa tumeshasilimishwa.
 
Huyu Mbunge wa Mpanda ndugu Saidi Arfi ndio wewe ulitakiwaumuulize Mwanachama mwenziwako yeye Mbunge Saidi Arfi ameikosoa Katiba ya chadema kuwa ina mapungufu sasa kama wewe ni mwanachama una haki kuuliza wapi kwenye makosa ? sio kuleta maneno yako ya matusi humu ndani kuwa heshima ndugu halafu wewe upo siku nyingi humu ndani lakini mazungumzo yako sio ya mtu Great Thinker kwanini? Unapenda kuzungumza maneno ya Pumba?



  • JF Senior Expert Member


    Join Date : 7th March 2006
    Posts : 18,283
    Rep Power : 44785463
    Likes Received3893
    Likes Given5196
Upo humu Tangu Mwaka 2006 lakini unacho zungumza humu ndani ni maneno ya Pumba kwanini Mkuu Nicholas hujiheshimu?

Mzee Arfi mwenyewe kwa muda wote aliokuwa Madarakani hajawahi kusema katiba ni mbovu.Amekuja kuiona mbovu baada ya kufukuzwa kiaina Umakamu Mwenyekiti.Mtu kama huyu anatumika na wala hastahili kueleweshwa chochote kwa hiyo unamwonea bure Nicholas.
 
Aache ujinga wake mnafiki mkubwa. Mwenyewe alishiriki kukiweka kipengele hicho kwenye Katiba halafu analeta unafiki wake hapa. Hebu akasome katiba za FIFA, TFF, n.k. zinasemaje kuhusu kwenda mahakamani.

Kimsingi, Katiba ya Chadema haimzuii mwanachama kwenda mahakama ILA ukishindwa kesi ndio kwaheri. Hii ni nzuri kwa sababu wengine badala ya kupeleka kesi za maana mahakamani, wao hupeleka majungu na hili zee ni mmoja wao.
TFF na FIFA, ni sawa na Chadema.

Teh teh teh teh
 
Mzee Arfi mwenyewe kwa muda wote aliokuwa Madarakani hajawahi kusema katiba ni mbovu.Amekuja kuiona mbovu baada ya kufukuzwa kiaina Umakamu Mwenyekiti.Mtu kama huyu anatumika na wala hastahili kueleweshwa chochote kwa hiyo unamwonea bure Nicholas.
Si muonee bure Nicholas amefananisha Katiba ya chadema na kitabu kitukufu cha Dini ya Kiislam Quran Nicholas amesema kuwa Quran ina mapungufu itakuwa katiba ya chadema ndio hapo nilipo mwambia Mkuu Nicholas anazungumza maneno ya Pumba. Na humu ndani Nicholas yupo siku nyingi huwezi kufananisha Katiba ya chadema na Kitabu cha Dini ya Waislam Quran vipo sawasawa? Quran ni kitabu cha Mwenyeezi Mungu kwa kupitia Dini ya Waislam na Katiba imetungwa na bindamu kwa chama cha kisiasa chama cha chadema huwezi kufananisha Katiba ya chadema na Quran ndio nikamwambia Nicholas Sio Great Thinker yupo humu ndani Nicholas tangu mwaka 2006 anazungumza maneno ya Pumba namna hii?
 
We unafikiri Quran sawa na lile jarida la ngono (biblia)

Wenzako biblia tunatumia kufungia vitumbua tu
Aliyetumia kauli ya kusema kuwa Hata Quran ina Makosa naamini alikusia kwa nia njema kabisa. hakukusudia kukashifu kama ambavyo Mheshimiwa umekashif. Maneno uliyoyatumia kwa kiasi kikubwa naamini yamkosa busara na uvumilivu stahiki
 
Back
Top Bottom