Independent-Mind
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 712
- 207
Arfi ni mfuasi wa Zito,na ni mwanachama wa ACT ambaye bado hajaondoka CHADEMA,ila hana madhara yoyote.Aachwe tuu huyu mzee achukue kiinua mgongo chake.Vyama vingi duniani vimeweka katazo la kwenda mahakamani ili kuweza kuwa huru kwenye maanuzi mbalimbali, kwa sababu ukiwa na wanachama wakorofi na wenye uchu wa madaraka kama akina Zito,chama kitakuwa kinashughulikia kesi mahakamani,badala ya kujieneza kwa wanachama wengi zaidi.
Red: Sentensi pekee ambayo hampendi kuitaja ni kuwa Zitto hakutaka madaraka kwa nguvu,alikuwa na sifa zote,katiba ilimruhusu na alifuata taratibu zote.Waliofukia demokrasia kwa kumnyamazisha bila utaratibu ndio watu safi? Only in Chadema.